Wabongo utawaweza ukiitaja israel na usa utapewa sifa za kipekee ila ukija kwa uhalisia hukion kinachozungumziawa .. siku usa itakapopotea udhibit wa dolla yake itapaki kama taifa la dunia ya tatu
Siasa ni ujinga sana baada ya miaka 4 akishinda kiongozi wa Democratic ataondoa hicho kitengo ambacho Trump amempa Musk kama asante kwa kumpigania kwenye kampeni