Donald Trump atoa hotuba ya mwisho kama Rais, autakia mafanikio mema utawala wa Biden

Hawezi kukujibu. Anajua ya wamarekani kuliko ya jamii yake mwenyewe. Alafu cha ajabu anaongelea clinton ambaye ni raisi mbaguzi namba moja kuwahi kutokea kwenye historia ya marekani. Bila shaka anasikiliza cnn afu anakuja kutu troll
Nani ni Rais mzuri kuwahi kutokea Tz?
 
Amefeli nn mjinga ww. Kama sio habari uchwara unazosikiliza ndo zinaku troll
Anaropoka tu kama mgonjwa wa akili, Rais alietalawala kwa muda mchache, Rais aliewabagua BlackAmerica, ww mmatumbi ata kama unamshobokea still anakuona shithole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…