Salaam, Shalom!!
HAKIKA Donald Trump ni mtumishi wa Mungu aliye juu,
Hivi Leo ametangaza vita na Taasisi zote zinazojuhusisha na kubadili JINSIA Kwa wamarekani akidai hii ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Amedai kuwa, ilifika time mzazi aliweza kubadili JINSIA ya mtoto wake wa kumzaa bila hata kujadiliana na mzazi mwenzie, Sheria ziliruhusu UOVU huo.
Sasa ameapa kupeleka msaada haraka bungeni Ili kuzifuta na kumtangaza adhabu Kali Kwa madaktari wataoshiriki UOVU huo, amedai chama chake kina wabunge wengi sasa hivyo wajiandae.
Mungu Mbariki Donald Trump.
Ameen
Source: Times of India Utube channel.
HAKIKA Donald Trump ni mtumishi wa Mungu aliye juu,
Hivi Leo ametangaza vita na Taasisi zote zinazojuhusisha na kubadili JINSIA Kwa wamarekani akidai hii ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Amedai kuwa, ilifika time mzazi aliweza kubadili JINSIA ya mtoto wake wa kumzaa bila hata kujadiliana na mzazi mwenzie, Sheria ziliruhusu UOVU huo.
Sasa ameapa kupeleka msaada haraka bungeni Ili kuzifuta na kumtangaza adhabu Kali Kwa madaktari wataoshiriki UOVU huo, amedai chama chake kina wabunge wengi sasa hivyo wajiandae.
Mungu Mbariki Donald Trump.
Ameen
Source: Times of India Utube channel.