Donald Trump: Naelewa kwanini Russia ilitumia nguvu kuingia Ukraine. Biden alivunja mkataba uliokuwepo kati ya Marekani na Urusi

Donald Trump: Naelewa kwanini Russia ilitumia nguvu kuingia Ukraine. Biden alivunja mkataba uliokuwepo kati ya Marekani na Urusi

1120ulimwengu

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
252
Reaction score
422
Hiki ndicho alichokisema kuhusu vita ya Ukraine

1. Serikali ya Marekani haikutakiwa kusema kwamba Kiev (Ukraine) itajiunga NATO

2. Biden alivunja makubaliano kati ya Marekani na Urusi kuhusu ni kwa kiasi gani jeshi la Marekani lingejitanua

3. "Moscow imekuwa ikisema mara kwa mara, hata kabla ya Rais Vladimir Putin kuchukua madaraka, kwamba haitaki kuona NATO ikikuwepo Ukraine," Trump alieleza, akiongeza kwamba "hilo limeandikwa kwenye jiwe." Hata hivyo, Biden alisisitiza kwamba "wanapaswa kuwa na uwezo wa kujiunga na NATO," aliongeza.

4. Rais huyo mteule pia alisema kwamba “anaweza kuelewa” jinsi Russia inavyohisi kuhusu kuwa na bloc ya kijeshi ya kigeni “hapo mlangoni mwao.”

5. "Niliposikia jinsi Biden anavyofanya mazungumzo, nilisema: 'Hapa lazima kuwe na vita ,' na ikageuka kuwa vita mbaya sana"

 
Source ya hii taarifa ama ndo tomato sauce
Trust me bruh!!!?
 
direction

Perfect statements by Trump. The cardinal reasons for the War.

1. Washington should never have said that Kiev could join NATO.

2. Biden “broke” a deal that America had with Russia on how far the US-led military bloc could expand.

3. Moscow has repeatedly stated even before President Vladimir Putin came to power that it does not want to see NATO in Ukraine,” Trump stated, adding that it “has been written in stone.” Biden nonetheless insisted that “they should be able to join NATO,” he added.

4. The president-elect also said he “could understand” how Russia was “feeling about” having a foreign military bloc “right on their doorstep.

5. “When I heard the way that Biden was negotiating, I said: ‘you’re going to end up in a war,’ and it turned out to be a very bad war,”

Finally, called it “Biden’s fiasco»…🙂LOL A campaign under the direction of his boss Barack Obama behind the curtains.
Ni kitatokea baada ya miaka minne ya utawala wa Trump
MUNGU ndiye anajua
 
" IN MY VIEW" BLAH BLAH BLAH aliposema maneno hayo basi alochoongea n8 utumbo tu. Putin alishambulia Ukrain 2014, Biden alikuwepo ?
Brother kuwa positive,kwanza 2014 CIA ilifanya mapinduzi Ukraine(Maiden coup) na kuondoa utawala uliokuwepo.Kuna visa vya watu kuchomwa live kisa tu walipinga!
Hata hivyo nchi za Ulaya kama Ujeruman,Ufaransa ziliunda deal na Urusi ili Ukraine isitishe mauaji huko Donetsk na kuzila mamlaka ya kujiendesha wanaita minsk Agreement.Trump alipoingia kulikuwa na utulivu japo hakusukuma matekelezo ya mkataba(You can't blame him for that)..Alipotoka Trump Ukraine ilikuwa bado kutekeleza yaliyokuwamo kwenye minsk agreement.Ooh boy it turns out kumbe mataifa hayo yaliidanganya Urusi na kwamba walijifanya kusaini minsk agreement ili watumie muda huo kujenga jeshi imara la Ukraine,haya yalisemwa na Angel Merkel aliyekuwa chancellor wa Ujeruman,google it!
So bro,bora kuchelewa kuliko kukosea kabisa.Trump anaiokoa dunia!
 
Brother kuwa positive,kwanza 2014 CIA ilifanya mapinduzi Ukraine(Maiden coup) na kuondoa utawala uliokuwepo.Kuna visa vya watu kuchomwa live kisa tu walipinga!
Hata hivyo nchi za Ulaya kama Ujeruman,Ufaransa ziliunda deal na Urusi ili Ukraine isitishe mauaji huko Donetsk na kuzila mamlaka ya kujiendesha wanaita minsk Agreement.Trump alipoingia kulikuwa na utulivu japo hakusukuma matekelezo ya mkataba(You can't blame him for that)..Alipotoka Trump Ukraine ilikuwa bado kutekeleza yaliyokuwamo kwenye minsk agreement.Ooh boy it turns out kumbe mataifa hayo yaliidanganya Urusi na kwamba walijifanya kusaini minsk agreement ili watumie muda huo kujenga jeshi imara la Ukraine,haya yalisemwa na Angel Merkel aliyekuwa chancellor wa Ujeruman,google it!
So bro,bora kuchelewa kuliko kukosea kabisa.Trump anaiokoa dunia!
Sawa mkuu ila mimi na wewe hatuko huko kwanza.,halafu unaposema " kuna visa...." au kulikuwa na deal, au CIA. Mbona na wewe andiko lako linafikirisha.

Unazungumzia Mins
Brother kuwa positive,kwanza 2014 CIA ilifanya mapinduzi Ukraine(Maiden coup) na kuondoa utawala uliokuwepo.Kuna visa vya watu kuchomwa live kisa tu walipinga!
Hata hivyo nchi za Ulaya kama Ujeruman,Ufaransa ziliunda deal na Urusi ili Ukraine isitishe mauaji huko Donetsk na kuzila mamlaka ya kujiendesha wanaita minsk Agreement.Trump alipoingia kulikuwa na utulivu japo hakusukuma matekelezo ya mkataba(You can't blame him for that)..Alipotoka Trump Ukraine ilikuwa bado kutekeleza yaliyokuwamo kwenye minsk agreement.Ooh boy it turns out kumbe mataifa hayo yaliidanganya Urusi na kwamba walijifanya kusaini minsk agreement ili watumie muda huo kujenga jeshi imara la Ukraine,haya yalisemwa na Angel Merkel aliyekuwa chancellor wa Ujeruman,google it!
So bro,bora kuchelewa kuliko kukosea kabisa.Trump anaiokoa dunia!

Sawa mkuu, umesema mikataba ,visa, kuna deal ,CIA n.k mambo mengi yakusemekana kuwa
Hii hapa nayo ungedadavua ungetusaidia,kwa kifupi wewe unaona ni halali Putin kuvamia na kuteka Kyiv na kuweka mtu wanaemtaka

Sababu Kama Ukraine alivunja mkataba huu kwa namna yeyote Putin angeenda UN au angeeiitisha kikao cha wadhamini, sio kuvamia tu na visingizio eti NATO wanatubana, mara MAIDEN, mara,CIA.

Kwa kifupi Ukrain alikuwa Nuclear Power Kama Urusi, nchi ndogo watu wachache lakini mabingwa wa Tech hatari.

Futatilia hiyo 1994 Trilateral Statement

1994 Trilateral Statement

As the United States mediated between Russia and Ukraine, the three countries signed the Trilateral Statement on January 14, 1994.

Ukraine committed to full disarmament, including strategic weapons, in exchange for economic support and security assurances from the United States and Russia.
 
Back
Top Bottom