Give her "bravo" How many of us can even get closer to Donald? Wa Bongo Bana
Alikuambia Donald anapapatikiwa na kila mtu TZ?
Bora useme wewe maana wengine wanahisi kama....sasa kupiga nae picha si yuko kazini and is being paid for that. Yani wabongo yani.....we acha tu.
Sasa hii ndo unaita Donald na flavianna?