Donbas itarudi tena kuwa Ukraine-Zelensky

Donbas itarudi tena kuwa Ukraine-Zelensky

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Rais wa Ukraine ndugu Zelensky katika taarifa zake za leo kwa njia ya mtandao amesema eneo la Donbas litarudi kuwa Ukraine kwa mara nyengine. Hii ina maana eneo hilo ambalo ni muunganiko wa mikoa miwili ya mashariki ya Ukraine limeshaangukia mikononi mwa Urusi baada ya mapigano makali ya wiki kadhaa sasa.
 
The next is kiev with tactical
d3c7a3e2-a500-4b64-a156-10edf3c84726.jpg
 
Wananchi walipotea Sana kuweka raisi msanii halafu mji mkuu Kiev wakamuweka bondia ,unategemea kutakuwa na maamuzi Bora hapo zaidi ya upumbavu maana hata maana ya diplomasia hawaijui
 
Anaweza kukamatwa muda wowote na kuwekewa kesi rukuki Kisha kunyongwa Kama SADDAM HUSSEIN,na US na wenzake 39 wanaofadhili Vita wakakaa kimya.
 
Kitu kikienda kwa mganga hakirudi!hiyo ndo basi tena anabaki kujifariji tu!
 
kitu kikienda kwa mganga hakirudi!hiyo ndo basi tena anabaki kuji wanachukua
Kwenye hiyo miji Waukraine wanachukua uraia wa Urusi kwa kasi sana.Hakuna dalili kuwa Putin ana mpango wa kuirudisha.
 
Back
Top Bottom