Donda House, nyumba aliyoishi Kanye West akiwa mdogo

Donda House, nyumba aliyoishi Kanye West akiwa mdogo

off-sir

Member
Joined
Dec 21, 2019
Posts
65
Reaction score
56
Msanii Kanye West kupitia mtandao wake wa Instagram amepost picha ya nyumba yao ya zamani alikuwa akiishi pindi akiwa mdogo

Na tukumbushane tu kuwa nyumba hii ndio ile ambayo aliinunua mwaka jana 24 April kwa Dollar za kimarekani ($225,000) kwa mujibu wa kanye west mwenyewe anasema nyumba hii ilikuwa ya kwao kwenye miaka ya 1980 - 2004 ila Bi mkubwa ndiye aliiuza "Donda West"

Na story nyingine nyingi zilipita hapo kati ikiwemo hii project yake ya sasa donda alitaka kufanyia hapo, lakini haikuwa hivyo tusubirie Listen party ya Donda kwa mara ya Tatu.

Screenshot_20210821-072302_Chrome.jpg
 
Hiyo ndo nyumba ya kuuzwa dollar 225k kweli mbele mbele tu
Bei ya nyumba hutegemea sana na sehemu ilipo.

Hiyo nyumba ipo Chicago Illinois, mji wa tatu kwa wingi wa watu Marekani.

Pia kumbuka dola moja ukiwa Marekani si sawa na dola moja ukiwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom