Dondoo muhimu za kufanya usafi kwa wavivu wa kuoga "kupiga passport"

Dondoo muhimu za kufanya usafi kwa wavivu wa kuoga "kupiga passport"

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Lazima tukubaliane maji sio ya kila mtu. Kuna watu hawapendi tu kuwa karibu na maji achilia mbali kuyatia mwili.

Sasa kama wewe ni mmojawapo twende pamoja.

Hakikisha una sabuni ya kuogea.

Pitisha maji na sabuni usoni na unawe vizuri.

Pitisha maji na sabuni kwenye sehemu zote za mikunjo yani shingo, makwapa yote chini ya maziwa/matiti yote, kitovuni na sehemu ya chini yake.

Kausha maji mwilini kwa taulo au kitambaa laini.
 
Lazima tukubaliane maji sio ya kila mtu. Kuna watu hawapendi tu kuwa karibu na maji achilia mbali kuyatia mwili.

Sasa kama wewe ni mmojawapo twende pamoja.

Hakikisha una sabuni ya kuogea.

Pitisha maji na sabuni usoni na unawe vizuri.

Pitisha maji na sabuni kwenye sehemu zote za mikunjo yani shingo, makwapa yote chini ya maziwa/matiti yote, kitovuni na sehemu ya chini yake.

Kausha maji mwilini kwa taulo au kitambaa laini.
Hii inafaa Kwa watu wanene kweli???? Mmh
 
Lazima tukubaliane maji sio ya kila mtu. Kuna watu hawapendi tu kuwa karibu na maji achilia mbali kuyatia mwili.

Sasa kama wewe ni mmojawapo twende pamoja.

Hakikisha una sabuni ya kuogea.

Pitisha maji na sabuni usoni na unawe vizuri.

Pitisha maji na sabuni kwenye sehemu zote za mikunjo yani shingo, makwapa yote chini ya maziwa/matiti yote, kitovuni na sehemu ya chini yake.

Kausha maji mwilini kwa taulo au kitambaa laini.
Tukiwa shule kuna jamaa alikuwa anakata wiki bila kuoga!Siku akioga bweni zima linajua Yuko kuoga, alikuwa na msemo kwamba katoka kupiga povu!
 
Back
Top Bottom