Habari wadau, mi ni mwalimu wa msingi wilaya ya kilwa, naomba anayeweza kunifanyia mpango nikahama kutoka huku na kuhamia shule yoyote dsm jijini dsm anijuze, kama waweza tubadilishane au nifanyie mpango tamisemi.
pananuka harufu ya rushwa na mtu kuibiwa.kuweni makini sana. Halafu mbona watu wanatafuta kuibiwa wenyewe kunanini wewe MWL? hatakama nimsaada hatuombei hapa.