Don't be mistaken with noises, no Kenyan in a list of Africa's billionaires

Makirikanya hayajielewagi kabisa minyang'au mikubwa,kutwa kujisifia for nothing,siipendi sana mijitu mibaya mi-optumistic
 
Makirikanya hayajielewagi kabisa minyang'au mikubwa,kutwa kujisifia for nothing,siipendi sana mijitu mibaya mi-optumistic
Afadhali ungejieleza kwa Kiswahili maana ulicho andika ni mavi tu
 
Muhindi mmoja bilionea anashikilia Watanganyika maskini milioni 57
Yaani Tz matajiri kumi wanaoshikilia uchumi wa nchi wote waarabu na wahindi, Watanganyika weusi wanateseka kwenye umaskini kisa uzembe ulioletwa na ujamaa.
Haters kama nyie hamtupi shida nyie si mnabalionea mia tatu na ushe mbona hakuna hata mmoja
 
Wanakuambia wana milionea wengi
Hahaha milionea wa Kibera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…