Don't be on this flight!

Don't be on this flight!

Invisible

JF Admin
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,380
"This is Captain Sinclair speaking. On behalf of my crew I'd like to welcome you aboard British Airways flight 602 from New York to London. We are currently flying at a height of 35,000 feet midway across the Atlantic.

"If you look out of the windows on the starboard side of the aircraft, you will observe that both the starboard engines are on fire.

"If you look out of the windows on the port side, you will observe that the port wing has fallen off.

"If you look down towards the Atlantic ocean, you will see a little yellow life raft with three people in it waving at you.

"That's me your captain, the co-pilot, and one of the air stewardesses. This is a recorded message. Have a good flight!"
 
Kama vile nawaona....ndugu na jamaa.wanakuja kuchukua majivu ya kuzika.
 
Invisible,kuna kitu behind?ama ni joke?ama ni fasihi tu namna ya kutufikishia ujumbe mchungu softly?please explain!
 
Invisible,
ndio kifo kinachotunyemelea watz huko mbeleni yaelekea pilot na crew wake wote wamekula kona dege linaelea tu hewani bila ya pilot...Kwa kweli mwisho wetu utakuwa mbaya.Viongozi wetu wamekuwa manyang'au wasioelezeka najaribu kujenga picha akilini mwangu na kufikiria nini hasa kinachoendelea au kilichowapata mpaka kufikia hatua ya kuwa wabadhilifu wakubwa wasio na huruma wala aibu. Mchana kweupeee tunafisadiwa ama kweli umauti wetu utakuwa wa kutisha...Mungu kwa miujiza yako tuepushe na balaa hili binasfi nahisi kizunguzungu nadhani ni dalili za kupoteza fahamu naona dege linaelekea kubaya!!!!!!!!!!!!!
 
Invisible,
ndio kifo kinachotunyemelea watz huko mbeleni yaelekea pilot na crew wake wote wamekula kona dege linaelea tu hewani bila ya pilot...Kwa kweli mwisho wetu utakuwa mbaya.Viongozi wetu wamekuwa manyang'au wasioelezeka najaribu kujenga picha akilini mwangu na kufikiria nini hasa kinachoendelea au kilichowapata mpaka kufikia hatua ya kuwa wabadhilifu wakubwa wasio na huruma wala aibu. Mchana kweupeee tunafisadiwa ama kweli umauti wetu utakuwa wa kutisha...Mungu kwa miujiza yako tuepushe na balaa hili binasfi nahisi kizunguzungu nadhani ni dalili za kupoteza fahamu naona dege linaelekea kubaya!!!!!!!!!!!!!

You know what? This' just a joke but carries a strong message to us!
 
Mie na kamhogo kangu,nyie na tuviazi twenu!yangu macho!
 
Its very strong message to us..i believe .....we must wake up..its alarm sign
 
Back
Top Bottom