Dont drink n drive this weekend

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ndugu wapendwa
tukielekea weekend si haba kujulishana tusinywe na kuendesha gari na kama yawezekana
wala akuna haja ya kunywa pombe ushindwe kuendesha gari majuzi nilijiuliza kama kuna watu wanaoweza
kuwa na dhambi ni wachungaji kwa kuwadanganya watu amekufa kwa mapenzi ya mungu jamani sasa
kama umejilewea umejiingiza mwenyewe ukajifia mwenyewe sasa kwa nini wadanganye umeitwa na mungu
mungu gani anahifadhi walevi jamani mungu yupi anaitaji wazinzi no la hasha

kwa wale wenzangu leo kuna mkesha kwa mama rwakatare pale kwa gwajima na kwa mh ndege
pale kawe vyema kama wenzangu wanapowahi kuingia ngwasuma basi na sisi tusiache kuwahi urithi
wa milele kumtukuza mungu muumba

mungu awabariki
 
Asante kwa angalizo,

lakini kumbuka the best rules in case you want to drink is:

walking distance, crawling distance (i.e waliking distance wakati wa kuja bar, na crawling distance wakati tayari umepombeka)

drink at a place where you dont have to cross the road back home
 
Ushauri mzuri. Thenk yu vere machi.
 
Ulevi ni NOUMER! thanx kwa ushauri wako jombaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…