Don’t hate what you don’t understand

Kisaikolojia Kila mtu ana MTU au watu wake ana wafeel japo hatujuani humu yaani maandishi yanasadifu uwezo was kifikra Kwa mtu fulani hata kama ana mapungufu fulani yanayofanya mtu mwingine amchukie!

Pia kisaikolojia Kuna mtu anamchukia mtu tu bila sababu hata aongee point kiasi gani lakini anamchukia TU kwahiyo hiyo ni nature!

Mimi Kuna IDs zikiandika lazima nisome tu !de 'levis, samurai,Rabbon,suzy Elias,anonymous,Gentamycine,To yeye, Deception na wengine just a few yoga,emanuel misalaba ,Gagnija,WRC 2016 n.k!
 

List imejaa warembo tu.
 
Ndagha Nkamu
Ndagha mwee Milkshake[emoji23]

2024 nitaweka pazia machoni..

Ni mwaka nitakuwa karibu sana na Mungu kwa maombi.

Ukawe mwaka wa heri kwako na kwa familia yako katika jina la Yesu.
 
Naona wakereketwa wa Mr mang'ombe wanajifichia kwenye kichaka cha comments za wengine..
Wanalike..
Si jitokezeni tu pambana kishujaa,msijifiche kwenye likes [emoji1787][emoji1787]
Mang'ombe ni nani kwanza hapa mjini jf
 
Swadaktaaaaaa!!!!! [emoji482][emoji482]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…