Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Baada ya kuona baadhi ya watu wanadharau shule na wengine kuona kwamba shule ndio kila kitu hadi kujipachika Sifa za Kuelimika nimeona tukumbushane Qoute ya Mark Twain; (Writer, Humorist, Enterpreneur, Lecturer) na School Drop- Out
Don't Let Schooling interfere with your Education.......
Ni kwamba Elimu haina mwisho, ingawa shule na vyuo ni muhimu lakini usitegemee shule na vyuo pekee kujifunza wala siku ya kumaliza shule / chuo sio mwisho wa Kujifunza....
Kumbuka; The man who does not read has no advantage over the man who cannot read....
Don't Let Schooling interfere with your Education.......
Ni kwamba Elimu haina mwisho, ingawa shule na vyuo ni muhimu lakini usitegemee shule na vyuo pekee kujifunza wala siku ya kumaliza shule / chuo sio mwisho wa Kujifunza....
Kumbuka; The man who does not read has no advantage over the man who cannot read....