EMT, nimeshajijua mimi ni fake bora nitafute real man angalau tuneutralize tabia. Lol.
Hivi kama wewe mwanaume mlevi utatafuta mwanamke mlevi? Bora utafute mwanamke ambae si mnywaji ili angalau nyumba isiyumbe. Mi natafuta yule ambae mabaya niliyonayo yeye hana ili tuweze kuoneshana njia sahihi kuliko wote kuwa njia moja.
There you go.
Kazi ipo pale anapokuwa mlevi,mzinzi,mbishi, muongo....siju uta neutralize lipi? Roho wa bwana ushuke utusaidie!
emen! Hao wazinzi, wabishi, walevi hukimbilia kutafuta waliotulia michelle. Kuna wanaume walevi sana lakini huapa kutooa wanawake walevi,. Mwanaume kicheche hutafuta mwanamke aliyetulia anapotaka kuoa. Unaweza hisi ni kwanini. Ni kazi sana kwa mwanamke anapoelewa na mwanaume wa aina hiyo ila kama anakuwa ameshajua hizo tabia anaweza jipanga mapema kukabiliana nazo.
What about fake hair?
πoa:eyebrows:EMT, I am real! real hair, real nails, real eyelash, real skin tone, real me...
Of course it is easy to keep them real when they are this pretty. lol
Teh teh teh! Kongosho bana.Ndo mnavyopenda
Wanaenda na swaga zenu
Sasa hivi mwanamke mwenye kipilipili, akipita anatizamwa mara mbili
Hata hivyo, the "thing " is real
That's what matters!!
We amini ziko real. If I take off my glasses watu watagongana hapa bure, waniongezee kazi ya moderation. lolCan you take off your glasses so I can see those real eyelashes?
EMT, I am real! real hair, real nails, real eyelash, real skin tone, real me...
Of course it is easy to keep them real when they are this pretty. lol
lol! Michelle, beauty is in the eyes of the beholder... mimi mwenyewe, mume wangu, watoto wangu tunaona i look good. I might not be as beautiful to others but does it matter? kama wale wangu wananiona mzuri, kama mwenyewe najiona sawa, si mi mzuri tu... lolWow...Salute!πhoto:
lol! Michelle, beauty is in the eyes of the beholder... mimi mwenyewe, mume wangu, watoto wangu tunaona i look good. I might not be as beautiful to others but does it matter? kama wale wangu wananiona mzuri, kama mwenyewe najiona sawa, si mi mzuri tu... lol
Ndio hivo mpenzi! lolWe mzuri tu,hata hao wako wasipokuona mzuri utabaki kuwa mzuri kwa vigezo vyako....haijalishi wengine wanakuonaje....!!
Binadamu hawa bwana ukisubiri wakuambie ndo ujione mzuri mbona utakuwa dissapointed....manake mara nyingi akikusifia tu ana jambo lake rohoni....lol...!!
lol! Michelle, beauty is in the eyes of the beholder... mimi mwenyewe, mume wangu, watoto wangu tunaona i look good. I might not be as beautiful to others but does it matter? kama wale wangu wananiona mzuri, kama mwenyewe najiona sawa, si mi mzuri tu... lol