Seneta Wa Mtwiz JF-Expert Member Joined Sep 23, 2013 Posts 3,635 Reaction score 4,160 Oct 11, 2019 #21 Smart911 said: Ahsante kwa elimu... Cc: mahondaw Click to expand... Tatizo ni binadamu wa siku hizi mkuu.
Smart911 said: Ahsante kwa elimu... Cc: mahondaw Click to expand... Tatizo ni binadamu wa siku hizi mkuu.
M Maneza Member Joined Aug 6, 2018 Posts 45 Reaction score 69 Oct 11, 2019 #22 Unaweza kuanza vyovyote vile lakini chamsingi uwe unaijua vizuri hiyo biashara na uko vizuri kwenye sales and marketing # Know your niche
Unaweza kuanza vyovyote vile lakini chamsingi uwe unaijua vizuri hiyo biashara na uko vizuri kwenye sales and marketing # Know your niche
GLOBAL CITIZEN JF-Expert Member Joined Jun 5, 2014 Posts 767 Reaction score 1,657 Oct 11, 2019 Thread starter #23 Maneza said: Unaweza kuanza vyovyote vile lakini chamsingi uwe unaijua vizuri hiyo biashara na uko vizuri kwenye sales and marketing # Know your niche Click to expand... “Unaweza kuanza vyovyote vile” Hiyo inamaanisha nini hasa? Can you share more please?
Maneza said: Unaweza kuanza vyovyote vile lakini chamsingi uwe unaijua vizuri hiyo biashara na uko vizuri kwenye sales and marketing # Know your niche Click to expand... “Unaweza kuanza vyovyote vile” Hiyo inamaanisha nini hasa? Can you share more please?