Elections 2010 Dosari za Magufuli hizi hapa

jina lako limemaliza kila kitu, una chuki naye juu ya katoro, na umetumwa kwa pesa kiduuuuchu

tupe na dosari za lowassa, rostam, JK na member tafadhali
 

Tope mfano kesi ya barabara gani ilisababishwa na maamuzi mabaya ya Magufuli? Nadhani kipindi Lowasa alipokuwa waziri mkuu yeye hakuwa waziri wa miundo mbinu, sasa alihusika vipi na hizo pesa za barabara? Wewe nani amekukataza usitafute PHD? Huna hoja bali una majungu weye. Inaonekana ulishaingia anga zake akakutenda.
 

Hii ya huyu kaka nimeipenda. Anatakiwa kusafishwa kwanza.
 

kama hizi ndiyo dosari zake basi alifaa sana kuwa raisi wa ccm na kikwete maana za kikwete ni kuu kuliko hizo
 
kashaija huna issue bora uende nyumbani ukabembeleze mkeo uliyegombana nae asubuhi

Nasaka mke wangu mwenye jina kama lako alinikimbia mwaka juzi. Ukimwona mpe ujumbe huo. Wewe ni ki-Mambo?
 
unajua mkuu tunaenda kwa system hii habari hakuamua yeye peke yake ilitoka juu! Mi sioni tatizo kama iliamuliwa na kina ben na yeye kama mtekelezaji akatekeleza!

Mkubwa wako akikwambia lolote wewe unatekeleza? Kwa nini naye alijiuzia nyumba kama alikuwa msafi? Afadhali hata Kikwete alilazimishwa mwishoni. Na kwa nini alimuuzia ndugu yake ambaye hakuwa na stahili hiyo? Mkimpenda, mwende kwake; kajaa tele kidume.
 

we mwehu acha fitina hapa, mapungufu yenyewe matatu afu ya kuunga unga, hebu ainisha mapungufu ya jk hapa, na bado kawa rais..mara ngapi muambiwe tunataka raisi na si malaika..hakuna asiye na mapungufu, na vitu vingine unaita mapungufu wakati ni nje ya uwezo wa muhusika...unamlaumu hakuchoma nyavu dukani sasa tangu lini kazi ya kuchoma nyavu dukani ni ya wizara ya samaki?? dukani zinauzwa kiama net za mbu wakizipata wavuvi wanageuza kuwa nyavu na ndo zinaharibu mazingira na mazalia ya samaki sasa wewe unataka aanze kuchoma net za mbu madukani si ndio?? na hata kama kuna baadhi ya nyavu za hovyo dukani hiyo ni kazi ya TBS na FCC na si ya wizara we mwehuu, kama umetumwa na mafisadi kwa sababu ya uraisi 2015 peleka huu upupu wako kweingine na si hapa..mwehu wee na ungekuwa karibu ningekunaniliu..
 

Tunaoongozwa, kufanyiwa mazuri ni haki yetu na tukibahatika kufanyiwa hivyo hatulazimiki kushukuru. You don't have to thank someone for giving you your right. Ni Kkkwajibu wetu kukemea mabaya ya viongozi wetu.
 
Hivi zile nyumba alizo zifisadi alishazirudisha?

ulikuwa uamuzi wa serikali >>baraza la mawaziri kwa kupigiwa kura. na magufuli alikataa, lakini kura za wahuni zikawa nyingi jk na lowasa wakiwemo. msimtwishe mzigo yeye peke yake.

Although ninaamini kila aliye ndani ya ccm ni mchafu as huwezi kutumbukia kwenye choo cha shimo nawe usipakae mavi.
 

hahahah unfortunately huyu ndiye aliyebaki CCM ambaye ni afadhali, wengine wameoza sema Lowasa hampendi kweli na mshikaji wake hawezi kumuangusha ----- anyway Magufuli Mvumilivu hula mbivu ila kwa CCM tayari ni Mbivu ukivumilia utakula zilizo oza
 

mkuu kiukweli kabisa una eitha chuki binafsi au hujui usemalo.
Ofkoz no one is perfect 100%, visababu ulivyotoa havina mashiko
 

Watanzania wengine nuksi tupu. Wanawapenda wanaoua uchumi wa nchi, wanaotutembeza uchi, wanaobomoa nyumba zetu na kutuua kwa ugonjwa wa moyo; lakini wanawachukia waliotuvalisha nguo, walioondoa foleni, wanaoineemesha nchi na kumwezesha kila mwananchi kuboresha maisha yake kwa kumwondolea vikwazo na vikwamishi vinavyosababishwa na fikra potofu serikalini. Huu ni mtezamo hasi. Ni wazi kuwa watu wenye mtezamo huo ni balaa kwa Tanzania. Wanastahili kulaaniwa.
 
Tupe data mkuu hiyo niliyo pigia msitari hata siamini ni wewe unaweza toa kioja kama hicho
 
Kulikuwa na haja gani kwa Mheshimiwa Makufuli kuuzia nyumba za serikali wasukuma wenzake na nyingine kumpa demu wake?? was it really necessary?
 
Achakule upumbavu wako hapa, hivi wewe ukipewa kazi ya kuza chakula halafu akaja ndugu yako ananjaa huta muuzia kisa ni ndugu yako, issue ni kwamba kama huyo ndugu yake hakuliapa pesa iliyotakiwa labda tulizungumzie hilo.....
 
Pombe ni mkabila. Alipokuwa Waziri Ministry of Works, TANROADS section leaders/directors including strategic Region Managers walikuwa inatoka mkoani yake. Wale vipanga ambao hawang'oleki walirundikwa sehemu moja kuwa disfunction. Hafai! Hafai! Mabaya yake huwezi kuyasikia kwani ni mzuri wa kujinadi. Full time 4WD. Ofcourse percentage kubwa ya budget ya serikali ikienda kwenye barabara waziri atasikika tu akijipanga!
 
Kulikuwa na haja gani kwa Mheshimiwa Makufuli kuuzia nyumba za serikali wasukuma wenzake na nyingine kumpa demu wake?? was it really necessary?
Magufuli ni msukuma!? kama ndiyo hili silijui, kwa hiyo wasukuma na demu hawakupaswa kuuziwa nyumba kwa sababu ipi kwasababu tu ni wasukuma au...peleka ujinga wako kwa mafisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…