Influencer mhamasishaji maarufu machachari na muuza magari nchini Doto Magari mtoto wa mama Kizimkazi na hapa ipo, katembelea mradi wake wa kufuga nguruwe iliomgharimu million 70 wilaya ya Bahi Dodoma.
Akizungumza na waandishi wa habari waliomiminika kumhoji alidai nguruwe wake ni wa kipekee Tanzania na Africa kwani ni breed ya kipekee na kisasa.
Pia amedai kila nguruwe gharama yake ya chakula kwa siku ni laki Tatu. Na ana nguruwe 1000.
Cha kushangaza Doto Magari mwenyeji wa Dar Mzaramo muislamu anavaa rozari na aanafuga nguruwe. Yete anadai hana matabaka.
Msikize zaidi kwenye video hapo chini.
View: https://youtu.be/-TjTqpdFECk?si=7fkbm0vGCM_9OrcE
Accumen Mo darcity mrangi King Kong III
Akizungumza na waandishi wa habari waliomiminika kumhoji alidai nguruwe wake ni wa kipekee Tanzania na Africa kwani ni breed ya kipekee na kisasa.
Pia amedai kila nguruwe gharama yake ya chakula kwa siku ni laki Tatu. Na ana nguruwe 1000.
Cha kushangaza Doto Magari mwenyeji wa Dar Mzaramo muislamu anavaa rozari na aanafuga nguruwe. Yete anadai hana matabaka.
Msikize zaidi kwenye video hapo chini.
View: https://youtu.be/-TjTqpdFECk?si=7fkbm0vGCM_9OrcE
Accumen Mo darcity mrangi King Kong III