Dotor wa saikolojia anapatikana wapi hapa tanzania

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Jamani WanaJF,

Nina matatizo makubwa sana ya kisaikolojia ambayo yanaathiri sana maisha yangu ya kila siku. Kuna sometimes nawaza hadi kufa, vipi kwa wanaojua kama hapa Tanzania kuna sehemu wanazoweza kutibu matatizo ya kisaikolojia naomba waniambie.

Natanguliza shukrani..
 

njoo MUhimbili,muulizie Dr Kajula...au nenda PSCHATRY department
 
mkuu pole kwa matatizo...

lakini nakusihi before kwenda huko unaweza pata hapa JF Pre-advice..
Eleza linalokusibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…