Dotto Biteko unapolalamika kuhusu TANESCO kila siku unataka sisi tufanye nini wakati madaraka unayo wewe?

Dotto Biteko unapolalamika kuhusu TANESCO kila siku unataka sisi tufanye nini wakati madaraka unayo wewe?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wakati napiga patrol zangu huko mitandaoni nimekutana na clip hii ya Biteko akiwa kwa mara nyingine anawasema TANESCO.

Kwenye hii clip Biteko, analalamika kuhusu ubovu wa huduma kwa wateja za TANESCO kama ambavyo mara zote anafanya. This time anasema:

"Mnaona watu wanalalamikia kuhusu umeme, wapeni umeme. Tumeondoa mgao tumeleta tatizo jingine la huduma kwa wateja. Kama wananchi hawaridhishwi na huduma zetu sisi humu ndani wote tutaonekana hatuna maana. Hudumieni watu msiwavunje moyo watu, wanaozunguka huko maporini, kuweka nguzo. Alafu kuna watu wako kwenye chumba chenye AC alafu anawajibu vibaya wateja haiwezekani. Mimi sitakubali na wewe MD usikubali"

Nadhani kama Waziri wa Nishati kama umeshaongea zaidi ya mara moja hili suala ni vyema uchukue hatua.

Kulalalamika kwenye majukwaa hakusaidii. Sisi wananchi tunataka majibu sio viongozi wanaolia lia.

 
Nipo hapa nawaangalia wachangiaji ila TANESCO wanakatakata umeme kichizi wameniunguzia taa mpaka nimejuta kuwafahamu zima washa zima washa zima washa
 
Umemsikia analalamika au ni agizo kwa MD na wafanyakazi wa tanesco?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga,
 
Wakuu,

Wakati napiga patrol zangu huko mitandaoni nimekutana na clip hii ya Biteko akiwa kwa mara nyingine anawasema TANESCO.

Kwenye hii clip Biteko, analalamika kuhusu ubovu wa huduma kwa wateja za TANESCO kama ambavyo mara zote anafanya. This time anasema:

"Mnaona watu wanalalamikia kuhusu umeme, wapeni umeme. Tumeondoa mgao tumeleta tatizo jingine la huduma kwa wateja. Kama wananchi hawaridhishwi na huduma zetu sisi humu ndani wote tutaonekana hatuna maana. Hudumieni watu msiwavunje moyo watu, wanaozunguka huko maporini, kuweka nguzo. Alafu kuna watu wako kwenye chumba chenye AC alafu anawajibu vibaya wateja haiwezekani. Mimi sitakubali na wewe MD usikubali"

Nadhani kama Waziri wa Nishati kama umeshaongea zaidi ya mara moja hili suala ni vyema uchukue hatua.

Kulalalamika kwenye majukwaa hakusaidii. Sisi wananchi tunataka majibu sio viongozi wanaolia lia.

May he don't have mandate , TANESCO is above pay grade
 
TANESCO ni JANGA
Wakuu,

Wakati napiga patrol zangu huko mitandaoni nimekutana na clip hii ya Biteko akiwa kwa mara nyingine anawasema TANESCO.

Kwenye hii clip Biteko, analalamika kuhusu ubovu wa huduma kwa wateja za TANESCO kama ambavyo mara zote anafanya. This time anasema:

"Mnaona watu wanalalamikia kuhusu umeme, wapeni umeme. Tumeondoa mgao tumeleta tatizo jingine la huduma kwa wateja. Kama wananchi hawaridhishwi na huduma zetu sisi humu ndani wote tutaonekana hatuna maana. Hudumieni watu msiwavunje moyo watu, wanaozunguka huko maporini, kuweka nguzo. Alafu kuna watu wako kwenye chumba chenye AC alafu anawajibu vibaya wateja haiwezekani. Mimi sitakubali na wewe MD usikubali"

Nadhani kama Waziri wa Nishati kama umeshaongea zaidi ya mara moja hili suala ni vyema uchukue hatua.

Kulalalamika kwenye majukwaa hakusaidii. Sisi wananchi tunataka majibu sio viongozi wanaolia lia.

 
Wakuu,

Wakati napiga patrol zangu huko mitandaoni nimekutana na clip hii ya Biteko akiwa kwa mara nyingine anawasema TANESCO.

Kwenye hii clip Biteko, analalamika kuhusu ubovu wa huduma kwa wateja za TANESCO kama ambavyo mara zote anafanya. This time anasema:

"Mnaona watu wanalalamikia kuhusu umeme, wapeni umeme. Tumeondoa mgao tumeleta tatizo jingine la huduma kwa wateja. Kama wananchi hawaridhishwi na huduma zetu sisi humu ndani wote tutaonekana hatuna maana. Hudumieni watu msiwavunje moyo watu, wanaozunguka huko maporini, kuweka nguzo. Alafu kuna watu wako kwenye chumba chenye AC alafu anawajibu vibaya wateja haiwezekani. Mimi sitakubali na wewe MD usikubali"

Nadhani kama Waziri wa Nishati kama umeshaongea zaidi ya mara moja hili suala ni vyema uchukue hatua.

Kulalalamika kwenye majukwaa hakusaidii. Sisi wananchi tunataka majibu sio viongozi wanaolia lia.

Naye huyu ni Mr. sound tu1
 
Umemaikiq qnalalamika au ni agizo kwa MD na wafanyakazibwa tanesco?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga,
Maagizo yanatolewa majukwaani? Mjinga kama huyu boya anayekaimu urais. Hizi ni fix za kutaka watu waone wanafanya kazi kumbe hamna lolote. BTW si walisema tatizo la umeme linaisha kwa sababu wamejenga bwawa?
 
Maagizo yanatolewa majukwaani? Mjinga kama huyu boya anayekaimu urais. Hizi ni fix za kutaka watu waone wanafanya kazi kumbe hamna lolote. BTW si walisema tatizo la umeme linaisha kwa sababu wamejenga bwawa?
Jukwaa la nani hilo?
 
Wakuu,

Wakati napiga patrol zangu huko mitandaoni nimekutana na clip hii ya Biteko akiwa kwa mara nyingine anawasema TANESCO.

Kwenye hii clip Biteko, analalamika kuhusu ubovu wa huduma kwa wateja za TANESCO kama ambavyo mara zote anafanya. This time anasema:

"Mnaona watu wanalalamikia kuhusu umeme, wapeni umeme. Tumeondoa mgao tumeleta tatizo jingine la huduma kwa wateja. Kama wananchi hawaridhishwi na huduma zetu sisi humu ndani wote tutaonekana hatuna maana. Hudumieni watu msiwavunje moyo watu, wanaozunguka huko maporini, kuweka nguzo. Alafu kuna watu wako kwenye chumba chenye AC alafu anawajibu vibaya wateja haiwezekani. Mimi sitakubali na wewe MD usikubali"

Nadhani kama Waziri wa Nishati kama umeshaongea zaidi ya mara moja hili suala ni vyema uchukue hatua.

Kulalalamika kwenye majukwaa hakusaidii. Sisi wananchi tunataka majibu sio viongozi wanaolia lia.

Kuna jamaa sehemu anatamani huyu awe Waziri Mkuu!
 
Biteko anatakiwa awe anatumbua wazembe,asiogope kulogwa.
 
Back
Top Bottom