LGE2024 Dotto Biteko: Upinzani hata wakibaki kushiriki Uchaguzi watapigwa. Naomba msijitoe bakini twende hadi mwisho!

LGE2024 Dotto Biteko: Upinzani hata wakibaki kushiriki Uchaguzi watapigwa. Naomba msijitoe bakini twende hadi mwisho!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Vuguvugu la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa limeendelea kuwa kali.

Hivi karibuni Dotto Biteko ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya (CCM) Taifa ametoa tahadhari kuwa hata kama vyama vya upinzani vimeahidi kutojitoa kwenye Uchaguzi lakini bado vitapigwa tu.

Soma pia: Freeman Mbowe: Tuliwasusia mwaka 2019, kosa hilo haturudii tena. Safari hii tutabanana mpaka tone la mwisho la damu

"Naambiwa hapa kuna wengine wameamua kujitoa, hata kama wameamua kujitoa watapigwa na hata wakibaki ndani watapigwa, kwa sababu fomu walijaza wenyewe na naomba msijitoe bakini twende hadi mwisho. Hatutaki vyama vya upinzani vibinywe wala hatutaki mtu yeyote anyanyaswe"

=================================================================

Hii ina maana hata vyama vya upinzani vikishinda Uchaguzi na vyenyewe bado "Vitapigwa" au ana maana gani huyu baba?




Source: Habari Clouds
 
Wakuu,

Vuguvugu la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa limeendelea kuwa kali.

Hivi karibuni Dotto Biteko ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya (CCM) Taifa ametoa tahadhari kuwa hata kama vyama vya upinzani vimeahidi kutojitoa kwenye Uchaguzi lakini bado vitapigwa tu.

Soma pia: Freeman Mbowe: Tuliwasusia mwaka 2019, kosa hilo haturudii tena. Safari hii tutabanana mpaka tone la mwisho la damu

"Naambiwa hapa kuna wengine wameamua kujitoa, hata kama wameamua kujitoa watapigwa na hata wakibaki ndani watapigwa, kwa sababu fomu walijaza wenyewe na naomba msijitoe bakini twende hadi mwisho. Hatutaki vyama vya upinzani vibinywe wala hatutaki mtu yeyote anyanyaswe"

=================================================================

Hii ina maana hata vyama vya upinzani vikishinda Uchaguzi na vyenyewe bado "Vitapigwa" au ana maana gani huyu baba?



Source: Habari Clouds
Huyo naye kikopo kweli, wasijitoe huku mnaagiza watolewe?
 
Back
Top Bottom