Huyu hapa Dotto Keto 'Dotto Magari' anasema Mama Samia apewe maua yake kwa kupambana kuwatoa maeneo ya Makaburini na kuwapeka Mikocheni, kwamba kwa takribani miaka 30 hawakuwa na ofisi.
Msikilize kwenye ‘clip’ hapa, namnukuu “Mabilionea na Wawekezaji wote waliokimbia, wote wamerudishwa, wamerudi kuwekeza, wanaendelea kuupiga mwingi, fursa ndio hizo
mnapewa mjenge, sasa mnataka nini?”
Msikilize kwenye ‘clip’ hapa, namnukuu “Mabilionea na Wawekezaji wote waliokimbia, wote wamerudishwa, wamerudi kuwekeza, wanaendelea kuupiga mwingi, fursa ndio hizo
mnapewa mjenge, sasa mnataka nini?”