Kidogo kidogo anaingia kwenye siasa kesho utasikia anagombea ubunge.....machawa....Huyu hapa Dotto Keto 'Dotto Magari' anasema Mama Samia apewe maua yake kwa kupambana kuwatoa maeneo ya Makaburini na kuwapeka Mikocheni, kwamba kwa takribani miaka 30 hawakuwa na ofisi.
Msikilize kwenye ‘clip’ hapa, namnukuu “Mabilionea na Wawekezaji wote waliokimbia, wote wamerudishwa, wamerudi kuwekeza, wanaendelea kuupiga mwingi, fursa ndio hizo
mnapewa mjenge, sasa mnataka nini?”
View attachment 3097413
Hata anachongea hakielewekiHiyo taktaka unaelewa nini zaidi ya uchawa
Moderators tunasikitika kuwa huu uchafu wa FB kuhamishiwa hapa JF, mnalishushia hadhi Jukwaa letu pendwa. Na tukileta kitu kama hiki kuihusu CCM mtuvumilie pia kwani ni nyie wenyewe mnaruhusu Jukwaa kunajisiwa.Huyu hapa Dotto Keto 'Dotto Magari' anasema Mama Samia apewe maua yake kwa kupambana kuwatoa maeneo ya Makaburini na kuwapeka Mikocheni, kwamba kwa takribani miaka 30 hawakuwa na ofisi.
Msikilize kwenye ‘clip’ hapa, namnukuu “Mabilionea na Wawekezaji wote waliokimbia, wote wamerudishwa, wamerudi kuwekeza, wanaendelea kuupiga mwingi, fursa ndio hizo
mnapewa mjenge, sasa mnataka nini?”
View attachment 3097413
Ni kweli sasa JF inanajisiwa kwa mipasho ya huyu chawa mvuta bangi.Moderators tunasikitika kuwa huu uchafu wa FB kuhamishiwa hapa JF, mnalishushia hadhi Jukwaa letu pendwa. Na tukileta kitu kama hiki kuihusu CCM mtuvumilie pia kwani ni nyie wenyewe mnaruhusu Jukwaa kunajisiwa.
Hawa ndiyo wanatakatisha fedha chafu za vigogo....Huyu hapa Dotto Keto 'Dotto Magari' anasema Mama Samia apewe maua yake kwa kupambana kuwatoa maeneo ya Makaburini na kuwapeka Mikocheni, kwamba kwa takribani miaka 30 hawakuwa na ofisi.
Msikilize kwenye ‘clip’ hapa, namnukuu “Mabilionea na Wawekezaji wote waliokimbia, wote wamerudishwa, wamerudi kuwekeza, wanaendelea kuupiga mwingi, fursa ndio hizo
mnapewa mjenge, sasa mnataka nini?”
View attachment 3097413