ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sawa kama una 1.2m nakulete fundi akutegenezee kama hili ukiwa tayari inbox meNashida nacho Sana View attachment 1922766
Ukihama hapo inakuaje?Sawa kama una 1.2m nakulete fundi akutegenezee kama hili ukiwa tayari inbox me View attachment 1922846
Lazima uwe umefikia level fulani ya maisha ndo upate vitu kama hivyoUkihama hapo inakuaje?
Unakibebaje?
Hiki ndio kizuri kukaa chumbani kwenye master ila ukizeeka ni mzikiSawa kama una 1.2m nakulete fundi akutegenezee kama hili ukiwa tayari inbox me View attachment 1922846
Strictly kwa waliojenga nyumba zao la sivyo uuze ila kumpata mnunuzi ni shida piaUkihama hapo inakuaje?
Unakibebaje?
Hili Sasa nimelielewaSawa kama una 1.2m nakulete fundi akutegenezee kama hili ukiwa tayari inbox me View attachment 1922846
Hiki kiti cha chini kinaweza pia kuwa kitanda. Kuna uwezekano wa kukifanya kiti hiki kikawa convertible into a bed. Kwa hiyo kunapokucha kinakuwa kiti safi na meza zake, usiku vinakuwa ni vitanda viwili vilivyotizamana. Vinafaa sana kwa watoto wanaosoma shule za Sekondari au chuoSawa kama una 1.2m nakulete fundi akutegenezee kama hili ukiwa tayari inbox me View attachment 1922846