Double Dr. Emmanuel Nchimbi

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,248
Reaction score
13,244
Bila kujali ile shahada yake ya kwanza ya uzamivu PhD,hivi majuzi yaani mwanzoni wa Desemba 2011 Mh. Dk E.Nchimbi alitunukiwa nyingine pale Mzumbe University baada ya kuipigia kitabu kwa muda mrefu-japo wengi hatukujua na kuipata.Kila la heri.
 
To some of us.....Dr=Debit,....hivyo bado sijakupata vizuri mkuu
 
To some of us.....Dr=Debit,....hivyo bado sijakupata vizuri mkuu

hii ya Mzumbe ndio tunaitambua,ya kwanza kanyaboya ndio maana ilibidi arudie kusoma ya ukweli baada ya kuona wenzake DR Magufuli akisoma UDSM.
 
Hizo PHD za mzumbe kwa viongozi si za kweli hao walimu wanampa kirahisi rahisi tu!. Aje asome nje aone hakuna kujuana!!
 
Hizo PHD za mzumbe kwa viongozi si za kweli hao walimu wanampa kirahisi rahisi tu!. Aje asome nje aone hakuna kujuana!!

Mbona za nje ndo rahisi sasa? Huku kwetu unajua siku ya kuingia lakini siku ya kutoka huijui! Elimu ya nje ni ya kawaida sana, ndo mana mi nikikutana na mtu aliyesoma nje kwenye interview, labda anizidi kiingereza tu. mengine mengi ni ujanja ujanja tu.

Nchimbi kafanya PhD ya thesis tu, kaandika miaka yote minne. Supervisor wake wanadai kafanya vizur sana.

Ila mi ninachojua, ni kuwa wanadamu uona wao tu ndo wamesoma na wengine ni wanafukuza upepi!
 
Hizo PHD za mzumbe kwa viongozi si za kweli hao walimu wanampa kirahisi rahisi tu!. Aje asome nje aone hakuna kujuana!!

Mzumbe inapoza sana tu,tabu UDSM au SUA bana.Huko nje inategemea na chuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…