Hivi waislam wakikataa Ijumaa, wayahudi na wasabato wakakataa Jumamosi, wakristo wengine wakakataa Jumapili, Freemasons wakakataa Jumatatu, Buddhist wakakataa Jumanne,wahindu wakakataa Jumatano, Wiccans wakakataa Alhamisi.
Na wote wakakubaliwa na mahakama, uchaguzi utafanyika lini ?