Double strikers bado inabaki kuwa silaha muhimu Yanga

Double strikers bado inabaki kuwa silaha muhimu Yanga

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Nilishalisema hapa huko nyuma na bado nitaendelea kusisitiza, kumtegemea Fiston kule mbele peke yake kutaendelea kutughalimu mpaka kuja stuka tutakua tumechelewa sana!

Kuanzia hapa nyumbani na hata nchi jirani pia nchi nyingi za ki afrika Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni mwa timu pinzani...eti sie mwalimu anaendelea kumwacha mbele pekee yake matokeo beki zote zinahakikisha hagusi mpira au kuwa comfortable kitendo kinachosababisha acheze kwa shida mno na kupoteza nafasi nyingi sababu anacheza akiwa na tension kubwa.

Yanga tuliliona pungufu hilo tukamleta msaidizi angalau wawe wanaanza wawili lakini ajabu kocha bado anaendeleza mfumo wake wa mshambuliaji mmoja kitu ambacho kinaifanya timu ishinde kwa taabu sana kila mechi ichezayo iwe ya ligi ya ndani au kimataifa.

Nina imani endapo yanga tutawatumia wachezaji tuliowaleta kuja tatua shida hizi katika nafasi zao tungeshinda goli nyingi tu kwani timu ipo vizuri kwa sasa.

Weka mbele Morisson, Mayele, Musonda nyuma yao aziz, Bangala /Mudathir /Aucho, Beki Lomalisa, Job, Dombia, Djuma.

Halafu subiria mziki wake..
Lkn mfumo wa mshambuliaji mmoja mbe, tutakesha kutafuta magoli kwa sasa maana winga wenye spidi na uhakika hatuna kiukweli, tatizo linalotulazimu tulitatue dirisha lijalo.
 
Eti Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni, kama ni hivyo kilichomshinda kuleta vurugu huko Tunisia ni nini? Acheni kujipumbaza kiasi hicho nyie.

Hii inaitwa Michuano ya Kimataifa ya CAF, sio Ligi Kuu Tanzania Bara
 
Ila kusema kweli hiyo double striker pia itachukua muda sana kuja kuwalipa.
 
Eti Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni, kama ni hivyo kilichomshinda kuleta vurugu huko Tunisia ni nini? Acheni kujipumbaza kiasi hicho nyie.

Hii inaitwa Michuano ya Kimataifa ya CAF, sio Ligi Kuu Tanzania Bara
Mkuu ni kama hujasoma vizuri mada ila umetumia hisia tu
 
Nilishalisema hapa huko nyuma na bado nitaendelea kusisitiza, kumtegemea Fiston kule mbele peke yake kutaendelea kutughalimu mpaka kuja stuka tutakua tumechelewa sana!

Kuanzia hapa nyumbani na hata nchi jirani pia nchi nyingi za ki afrika Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni mwa timu pinzani...eti sie mwalimu anaendelea kumwacha mbele pekee yake matokeo beki zote zinahakikisha hagusi mpira au kuwa comfortable kitendo kinachosababisha acheze kwa shida mno na kupoteza nafasi nyingi sababu anacheza akiwa na tension kubwa.

Yanga tuliliona pungufu hilo tukamleta msaidizi angalau wawe wanaanza wawili lakini ajabu kocha bado anaendeleza mfumo wake wa mshambuliaji mmoja kitu ambacho kinaifanya timu ishinde kwa taabu sana kila mechi ichezayo iwe ya ligi ya ndani au kimataifa.

Nina imani endapo yanga tutawatumia wachezaji tuliowaleta kuja tatua shida hizi katika nafasi zao tungeshinda goli nyingi tu kwani timu ipo vizuri kwa sasa.

Weka mbele Morisson, Mayele, Musonda nyuma yao aziz, Bangala /Mudathir /Aucho, Beki Lomalisa, Job, Dombia, Djuma.

Halafu subiria mziki wake..
Lkn mfumo wa mshambuliaji mmoja mbe, tutakesha kutafuta magoli kwa sasa maana winga wenye spidi na uhakika hatuna kiukweli, tatizo linalotulazimu tulitatue dirisha lijalo.
Usije kujiua kwa pressure, Yanga si timu kimataifa. Uliza wenzako waliokutangulia ndipo utajuwa ukweli.
 
Nilishalisema hapa huko nyuma na bado nitaendelea kusisitiza, kumtegemea Fiston kule mbele peke yake kutaendelea kutughalimu mpaka kuja stuka tutakua tumechelewa sana!

Kuanzia hapa nyumbani na hata nchi jirani pia nchi nyingi za ki afrika Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni mwa timu pinzani...eti sie mwalimu anaendelea kumwacha mbele pekee yake matokeo beki zote zinahakikisha hagusi mpira au kuwa comfortable kitendo kinachosababisha acheze kwa shida mno na kupoteza nafasi nyingi sababu anacheza akiwa na tension kubwa.

Yanga tuliliona pungufu hilo tukamleta msaidizi angalau wawe wanaanza wawili lakini ajabu kocha bado anaendeleza mfumo wake wa mshambuliaji mmoja kitu ambacho kinaifanya timu ishinde kwa taabu sana kila mechi ichezayo iwe ya ligi ya ndani au kimataifa.

Nina imani endapo yanga tutawatumia wachezaji tuliowaleta kuja tatua shida hizi katika nafasi zao tungeshinda goli nyingi tu kwani timu ipo vizuri kwa sasa.

Weka mbele Morisson, Mayele, Musonda nyuma yao aziz, Bangala /Mudathir /Aucho, Beki Lomalisa, Job, Dombia, Djuma.

Halafu subiria mziki wake..
Lkn mfumo wa mshambuliaji mmoja mbe, tutakesha kutafuta magoli kwa sasa maana winga wenye spidi na uhakika hatuna kiukweli, tatizo linalotulazimu tulitatue dirisha lijalo.
Kwa hiyo nabi mlimpa uprofesa wa heshima kwa kuifunga simba tu sindio?
 
Sasa mbona wachezaji watazidi 11. Au hujui ili ucheze dabo straika inabidi upunguze kiungo mmoja kati kati.
 
Mkuu ni kama hujasoma vizuri mada ila umetumia hisia tu
Aliposema Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni mwa mpinzani, haya tuambie wewe amemaanisha nini hapo..?!
 
Eti Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni, kama ni hivyo kilichomshinda kuleta vurugu huko Tunisia ni nini? Acheni kujipumbaza kiasi hicho nyie.

Hii inaitwa Michuano ya Kimataifa ya CAF, sio Ligi Kuu Tanzania Bara
Mpira mpira tu
 
Back
Top Bottom