Double windows (OPSs) - Msaada

Njaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2009
Posts
1,022
Reaction score
412
Wakuu....
Laptop yangu ilikuja na window vista, ila ilikuwa haitaki ku-install baadhi ya programs zangu muhimu za shule, kwa hiyo kuna mtaalamu mmoja akaniwekea window xp hivyo kufanya computer yangu kuwa na windows mbili (double operating system), window vista ilikuwa default window.

Sasa nimemaliza shule na siihitaji tena window xp, kwa hiyo wakuu naomba mnisaidie jinsi ya kuondoa window xp bila ku-disturb window vista na programs zake. Kwa mwenye kujua hayo anisaidie hapa jamvini au kwa kuni-PM.

Nawakilisha
 
Wakuu nasubiri!!
 
Wakuu nasubiri!!

Kwa ushauri mzuri ni kwamba kwa kuwa tayari umetumia Windows Vista, ningekushauri utumie Windows 7 haina matatizo ya windows Vista na ni bora, badala ya kurudi Windows Xp. Huna shida ya kujihangaisha kila kitu ambacho ungekipata kwenye Windows Xp utapata kwenye Windows 7. Ukihitaji nitakupa namba ya mtu wa kukusaidia kwa sababu mimi siko bongo.
 
Nenda Ka edit kitu kinaitwa Boot.ini file

Lakini kwa sababu ulisema hata hiyo XP uliwekewa na mtaalamu bora umtafute huyo mtaalamu au mwingine yeyote sababu ukikosea tu kuedit vibaya kwenye hiyo Boot. ini mashine yako itahitaji fresh installtion.efe

Kuna option mbili za ku edit boot ini kuondoa reference ya OS usiyotaka

1 .nenda kwenye Run type msconfig.exe kuna button ya boot.ini chagua hiyo

2. Right click my computer chagu Propoerties then advanced alafu chaguabutton ya setting kwenye startup and recovery mwisho chagua button ya Edit kwenye system Startup. Hapo unaweza kuedit kuchagua OS unaytaka kuifuta.

Kwa maelezo zaidi tembelea How to edit the Boot.ini file in Windows XP
 
Kaka, hiyo wanacheza nayo wanaofahamu wanachofanya. Ni Hatari sana na anaweza kumuua "mgonjwa" kabisa!

Kuna computer (Kuanzia Vista->>) zina auto software the ku repair ndio maana ya swali langu hapo juu
 
Kaka, hiyo wanacheza nayo wanaofahamu wanachofanya. Ni Hatari sana na anaweza kumuua "mgonjwa" kabisa!

Kuna computer (Kuanzia Vista->>) zina auto software the ku repair ndio maana ya swali langu hapo juu
Ok sikujua kaka. zadi ya kusoma soma sina practical experince kubwa sana kwenye . Window Vista na 7. Am still enjoying XP

So tupe shule I would also like to know.assuming specs zake zinakizi vigezo. anatakiwa afanye nini? au hizo specs ni ni zipi?
 
Easy, kama aliinstall kufuata utaratibu, Vista/7 inatengeza partition ndogo ya recovery.
1. Reboot mashine
2. Press right key for recovery (Huwa inaandika.. press XX for recovery), HP mara nying ni kama F11
3. Ita boot toka rec. drive na kujaribu ku-repair startup problem.
4. Iki fail unapelekwa ka recovery console..mwend wa commands

Sasa kama umesoma hapo juu hajatoa info kama Vista iko ok na iko partition ipi. Machine type/specs et al.
General question always receives general answer
 
kaka kama umeinstall os hizo ktk partition mbili tofauti. Amisha files kisha format hiyo partition yenye winxp.
 

Soma hapa chini kujua kinachohitajika na windows 7

Google Tafsiri

Kabla hujahamua kuweka windows 7 ichunguze kompyuta yako kuona kama inaweza kukubali windows 7, pakua mshauri wa uboreshaji wa windows 7 kutoka hapa
http://translate.google.co.tz/trans...rev=/search?q=Windows+7+Upgrade+Advisor&hl=sw.

USHAURI
Kama kompyuta yako ina uwezo wa kuendesha windows 7 ni bora ukatumia hiyo kwani yenyewe inaweza kupokea vifaa laini vilivyotengenezwa kwa ajili ya XP. (toleo la windows 7 profession na ultimate pekee ndiyo zenye uwezo huo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…