Dowans msiba

MAKOLA

Member
Joined
Jun 5, 2010
Posts
46
Reaction score
16
Hii nchi iuzwe nami nipewe salio langu nimechoka na wizi wa waziwazi
 
Apewe nani sasa, thread nyingine jamani! Naomba nikueleleweshe nchi hii ni nzuri endapo tu wananchi watajua haki zao kikamilifu ndipo serikali itakapotoka katika usungizi wa pono na kutekeleza majukumu yake ya msingi ikiwepo kupanda kwa bei ya mafuta, kupanda kwa umeme, nauli, mfumko wa bei, rushwa na ufisadi uliomea saizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…