Dowans plants working?

Mwikimbi

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,762
Reaction score
829
kuna mtu amepita eneo la dowans jana na juzi, amenihakikishia kuwa aliona mitambo ile inafanya kazi, sasa kuna mawili:

huenda imeshanunuliwa kimya kimya

au labda ilikuwa inapshwa moto?

wenye kuelewa hili jambo naomba mtuondoe wasiwasi
 
Imenunuliwa hiyo.
kinatafutwa uthibitisho ili waanze kuhamisha mijisenti.
Mgao ni bosheni ya miaka ya 60 ambayo hata todler anaweza kung'amua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…