Doyo Hassan Doyo ataka uchaguzi wa Chama cha ADC urudiwe, akata rufaa

Doyo Hassan Doyo ataka uchaguzi wa Chama cha ADC urudiwe, akata rufaa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Doyo Hassan Doyo ambaye alikuwa akiwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) amesema amekata rufaa kuping matokeo ya uchaguzi wa nafasi hiyo akidai kuna vitu havikwenda sawa na anataka uchaguzi urudiwe
 
Doyo Hassan Doyo ambaye alikuwa akiwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) amesema amekata rufaa kuping matokeo ya uchaguzi wa nafasi hiyo akidai kuna vitu havikwenda sawa na anataka uchaguzi urudiwe
Huyu bw, DoyoDoyo, anataka kutembelea nyota ya Mch, Msigwa, pengine CCM watafika dau la usajili, muda utaamua, tuvute subira,
 
Back
Top Bottom