DP Gachagua aliapa, Ruto aliapa na Joho pia aliapa lakini…

DP Gachagua aliapa, Ruto aliapa na Joho pia aliapa lakini…

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Nafikiri ili ufiti vizuri kwenye siasa za panda shuka ukanda huu wa Afrika Mashariki, inabidi uwe mnafiki na unajitoa ufahamu kweli kweli.

"Handshake" ya Raila na Ruto haikutegemewa kabisa kutokana na msimamo wa wafuasi na viongozi wa ODM, kama ilivyo kwa upande wa Ruto, mvulana kutoka Sugoi.

Lakini leo, kilichotokea ni kama usaliti wa waziwazi, unafiki, na uzandiki wa siasa.

Ndio, ni usaliti; Raila amesaliti Gen Z, huku kina Joho wakiwa wanafiki na BABA, lakini pia Ruto akiwa mzandiki.

Harakati yote ya Gen Z ni kuwapeleka hawa jamaa mjini?

Hata siamini, lakini hata hapa nyumbani watu walienda kunywa chai na kusahau mengi ya nyuma.

Wanasiasa sio hata wa kuwafikiria kwenye harakati yoyote, na ndio maana walimwambia Baba akae nyumbani.

Jamani, siasa za Kenya sio za kuweka rohoni, hasa Raila akiwa bado hai. Tangu enzi za Moi, RAILA RAILA ni conman huyu jamaa.

Hata siamini, kweli Gen Z wamempeleka huyu jamaa mjini.
 
Nafikiri ili ufiti vizuri kwenye siasa za panda shuka ukanda huu wa Afrika Mashariki, inabidi uwe mnafiki na unajitoa ufahamu kweli kweli.

"Handshake" ya Raila na Ruto haikutegemewa kabisa kutokana na msimamo wa wafuasi na viongozi wa ODM, kama ilivyo kwa upande wa Ruto, mvulana kutoka Sugoi.

Lakini leo, kilichotokea ni kama usaliti wa waziwazi, unafiki, na uzandiki wa siasa.

Ndio, ni usaliti; Raila amesaliti Gen Z, huku kina Joho wakiwa wanafiki na BABA, lakini pia Ruto akiwa mzandiki.

Harakati yote ya Gen Z ni kuwapeleka hawa jamaa mjini?

Hata siamini, lakini hata hapa nyumbani watu walienda kunywa chai na kusahau mengi ya nyuma.

Wanasiasa sio hata wa kuwafikiria kwenye harakati yoyote, na ndio maana walimwambia Baba akae nyumbani.

Jamani, siasa za Kenya sio za kuweka rohoni, hasa Raila akiwa bado hai. Tangu enzi za Moi, RAILA RAILA ni conman huyu jamaa.

Hata siamini, kweli Gen Z wamempeleka huyu jamaa mjini.
Mbona unaandika vitu vigumu vinakuzidi hata umri?
 
Raila anamezea kiti cha AU mate na the only way nikuwa upande WA ruto ambaye ni his chief campaigner
 
Back
Top Bottom