johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu wa Rais wa Kenya mh Gachagua amesema Mfumo wa Elimu ya Vyuo Vikuu haujibu mahitaji ya Soko na umepitwa na Wakati
Gachagua anetaka Mfumo huo Ufumuliwe na kusukwa upya ili uendane na bali ya sasa ya Dunia
Source Citizen tv
Gachagua anetaka Mfumo huo Ufumuliwe na kusukwa upya ili uendane na bali ya sasa ya Dunia
Source Citizen tv