DP World Australia

DP World Australia

Joined
Jun 5, 2023
Posts
33
Reaction score
84
Kazi iendelee
1622010621515%20(1).jpg
 
Mkataba wa DP vs Tanzania ndiyo tatizo,siyo jina lao,wala uwepo wao mahali pengine

Wanapaka sukari Chroloquine ili kufunika machungu ya mkataba wa Tanzania, wakisema DP World IPO mpaka Australia basi ni vizuri watupe na mkataba tuuone kama ni wa kipuuzi kama wetu pia na tuwaulize Je kwanini Zanzibar haipendi maendeleo ya bandari yao?
 
Wanapaka sukari Chroloquine ili kufunika machungu ya mkataba wa Tanzania, wakisema DP World IPO mpaka Australia basi ni vizuri watupe na mkataba tuuone kama ni wa kipuuzi kama wetu pia na tuwaulize Je kwanini Zanzibar haipendi maendeleo ya bandari yao?
Phase ya Zanzibar inakuja
 
Back
Top Bottom