Ali Muhsin Al Barwany
Member
- Jun 5, 2023
- 33
- 84
Kazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na miye nipeni connection ya kuwapost hapa jfKazi iendeleeView attachment 2657114
Una bandooo?Na miye nipeni connection ya kuwapost hapa jf
Mitambo kama hiyo tunashindwa kuinunua sisi wenyewe??.Kazi iendeleeView attachment 2657114
Mmpewa hela au mashabikia njaaa. Naombeni na Mimi maana Hali mbayaKazi iendeleeView attachment 2657114
Mkataba wa DP vs Tanzania ndiyo tatizo,siyo jina lao,wala uwepo wao mahali pengine
SanaInapendeza
TunawezaMitambo kama hiyo tunashindwa kuinunua sisi wenyewe??.
Pia naomba niuone mkataba huo wa DP world na hao Wajerumani.
Tatizo la mkataba lipo article ipi na ipi Mkuu na tatizo ni niniMkataba wa DP vs Tanzania ndiyo tatizo,siyo jina lao,wala uwepo wao mahali pengine
Karibu sanaMmpewa hela au mashabikia njaaa. Naombeni na Mimi maana Hali mbaya
Phase ya Zanzibar inakujaWanapaka sukari Chroloquine ili kufunika machungu ya mkataba wa Tanzania, wakisema DP World IPO mpaka Australia basi ni vizuri watupe na mkataba tuuone kama ni wa kipuuzi kama wetu pia na tuwaulize Je kwanini Zanzibar haipendi maendeleo ya bandari yao?
CEO naomba ajira kwenye DP worldPhase ya Zanzibar inakuja
What's is your professional??
Mtu unaitwa micucu unakosaje kazi ?Tupe kazi mkuu
Haya wahi posho yako hapo lumumbaKazi iendeleeView attachment 2657114