DP WORLD KARIBU SANA

DP WORLD KARIBU SANA

Congo

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2008
Posts
2,081
Reaction score
2,325
Acha waseme mkataba wa ovyo. Ingawa ninachojua kilichowekwa sahihi na kupitishwa na Bunge ni makubaliano ya serikali 2 ili kuruhusu makampuni yao kuingia kwenye mikataba, kwa kuwa makampuni yote ni mali ya serikali zao. (DPWORLD na TPA)

Nasema karibu DP WORLD. Nchi yetu usipokuwa kwenye dili basi kinachofanyika ni kibaya. Hofu ni dili. Maana wapingaji wanazijua hizo dili.

1. Dpw karibu uongeze ufanisi wa bandari yetu.

2. Uko Rwanda kwa sasa hakikisha mizigo yote ya Rwanda unayokusanya nje ya nchi inapita bandari ya dar.

3. Ongea na Congo ukafungue yard congo ili uhakikiahe mizigo yote ya congo inapita dar.

4. Usisahau kuwaomba Congo ufungue yard Goma ili mizigo yote utakayokusanya nje ipitie dar port.

5. Usisahau kufungua yard China ukusanye mizigo ya China ipite dar uishughulikie iende kunakohusika.

6. Usisahau kushirikiana na Silent Ocean akupe mizigo yake. Ikiwezekana ingia nae ushirika ili kuwe na mtiririko mzuri wa mizigo kutoka inakotoka, usimsahau KC wa uk na Tz.

7. Ujenge jengo la gorofa hata 10 ili magari yapaki bandarini. Yakitoka nje yanaibiwa vifaa. Mbona meli inabeba magari kwa magorofa? Jengo libebe magari 10,000

8. Urekebishe mfumo ili meli ikishatoka bandari ilikopakiliwa mzigo, manifest ipatikane tz. Uachane na mfumo wa sasa wa manifest kupatikana baada ya meli kuondoka bandari ya mwisho. Hii itasaidia mawakala kulipia mpaka port charges kabla ya CARRY IN END. Itapunguza msongamano.

9. Wakuruhusu ukapanue mpaka wa Tunduma ili ziwe njia nne kwenda na nne kurudi ili kupunguza masongamano.

10. Zambia ikuruhusu ujenge yard ya kupokelea mizigo nakonde ili kusiwe na msonomamo mpakani. Kwa nini zambia isubiri mzigo ulipiwe ndio uruhusiwe kuingia. Uingie ukae kwako nakonde, wa kulipa kodi alipe achukue mzigo wake.

Manufaa ni mengi kuliko mauzo na rushwa inayolalamikiwa. Tumechelewa. Hela zako lazima utoe masharti. Sisi ndio tunakuhitaji. Leta hela uwekeze. Ukishindwa tutakuondoa.

NIWAKUMBUSHE

TPA iliwahi kuwa na DRY PORT ISAKA, Kahama. Nzuri tu. Kwa mizigo ya Rwanda na Burundi.

Kwa hila na desturi yetu. Ikahujumiwa ikafa. Mzigo wa Rwanda na Burundi ulikuwa ukifika dar port unaenda kwa treni Isaka. Wanakuja kuuchukua pale. Maneno na hujuma zikaziua. Malori ya wakubwa yase kazi?

Tumewahi kuruhusu Malawi wakawa na Malawi Cargo Centre, hawa Malawi Cargo walikuwa na DRYPORT Mbeya. Zambia wakawa na ZAMCARGO. Wakajenga wao wenyewe.

Mnakataa nini DP WORD isijenge miundombinu ya kisasa zaidi ya MALAWI CARFO na ZAMCARGO? Mbona hatukulalamika kuwa Zambia na Malawi wanachujua ardhi yetu? Je, tuliwamilikisha ardhi, hapana.

Tunasahau tu.

DP WORLD KARIBU SANA

Kote kunahitaji uwekezaji mkubwa. Leta hela BENKI KUU YETU tuzione uanze kuzitumia.
 
Acha waseme mkataba wa ovyo. Nasema karibu DP WORLD. Nchi yetu usipokuwa kwenye dili basi kikichofanyika ni kibaya. Hofu ni dili.
1. Dpw karibu uongeze ufanisi wa bandari yetu.
2. Uko Rwanda kwa sasa hakikisha mizigo yote ya Rwanda unayokusanya nje ya nchi inapita bandari ya dar.
3. Ongea na Congo ukafungue yard congo ili uhakikiahe mizigo yote ya congo inapita dar.
4. Usisahau kuwaomba Congo ufungue yard Goma ili mizigo yote utakayokusanya nje ipitie dar port.
5. Usisahau kufungua yard China ukusanye mizigo ya China ipite dar uishughulikie iende kunakohusika.
6. Usisahau kushirikiana na Silent Ocean akupe mizigo yake. Ikiwezekana ingia nae ushirika ili kuwe na mtiririko mzuri wa mizigo kutoka inakotoka, usimsahau KC wa uk na Tz.
7. Ujenge jengo la gorofa hata 10 ili magari yapaki bandarini. Yakitoka nje yanaibiwa vifaa. Mbona meli inabeba magari kwa magorofa? Jengo libebe magari 10,000
8. Urekebishe mfumo ili meli ikishatoka bandari ilikopakiliwa mzigo, manifest ipatikane tz. Uachane na mfumo wa sasa wa manifest kupatikana baada ya meli kuondoka bandari ya mwisho. Hii itasaidia mawakala kulipia mpaka port charges kabla ya CARRY IN END. Itapunguza msongamano.
9. Wakuruhusu ukapanue mpaka wa Tunduma ili ziwe njia nne kwenda na nne kurudi ili kupunguza masongamano.
10. Zambia ikuruhusu ujenge yard ya kupokelea mizigo nakonde ili kusiwe na msonomamo mpakani. Kwa nini zambia isubiri mzigo ulipiwe ndio uruhusiwe kuingia. Uingie ukae kwako nakonde, wa kulipa kodi alipe achukue mzigo wake.

Kote kunahitaji uwekezaji mkubwa. Miaka 100 michache.
Una hoja, japo nawe unaamini mkataba siyo rafiki kwa nchi bali utanufaisha DPW na Dubai, nchi yake, kama ilivyo mikataba ya madini ambayo nchi inafaidika na mashimo
 
Acha waseme mkataba wa ovyo. Nasema karibu DP WORLD. Nchi yetu usipokuwa kwenye dili basi kikichofanyika ni kibaya. Hofu ni dili.

1. Dpw karibu uongeze ufanisi wa bandari yetu.

2. Uko Rwanda kwa sasa hakikisha mizigo yote ya Rwanda unayokusanya nje ya nchi inapita bandari ya dar.

3. Ongea na Congo ukafungue yard congo ili uhakikiahe mizigo yote ya congo inapita dar.

4. Usisahau kuwaomba Congo ufungue yard Goma ili mizigo yote utakayokusanya nje ipitie dar port.

5. Usisahau kufungua yard China ukusanye mizigo ya China ipite dar uishughulikie iende kunakohusika.

6. Usisahau kushirikiana na Silent Ocean akupe mizigo yake. Ikiwezekana ingia nae ushirika ili kuwe na mtiririko mzuri wa mizigo kutoka inakotoka, usimsahau KC wa uk na Tz.

7. Ujenge jengo la gorofa hata 10 ili magari yapaki bandarini. Yakitoka nje yanaibiwa vifaa. Mbona meli inabeba magari kwa magorofa? Jengo libebe magari 10,000

8. Urekebishe mfumo ili meli ikishatoka bandari ilikopakiliwa mzigo, manifest ipatikane tz. Uachane na mfumo wa sasa wa manifest kupatikana baada ya meli kuondoka bandari ya mwisho. Hii itasaidia mawakala kulipia mpaka port charges kabla ya CARRY IN END. Itapunguza msongamano.

9. Wakuruhusu ukapanue mpaka wa Tunduma ili ziwe njia nne kwenda na nne kurudi ili kupunguza masongamano.

10. Zambia ikuruhusu ujenge yard ya kupokelea mizigo nakonde ili kusiwe na msonomamo mpakani. Kwa nini zambia isubiri mzigo ulipiwe ndio uruhusiwe kuingia. Uingie ukae kwako nakonde, wa kulipa kodi alipe achukue mzigo wake.

Manufaa ni mengi kuliko mauzo na rushwa inayolalamikiwa. Tumechelewa. Hela zako lazima utoe masharti. Sisi ndio tunakuhitaji. Leta hela uwekeze. Ukishindwa tutakuondoa.

Kote kunahitaji uwekezaji mkubwa. Miaka 100 michache.
anaruhusiwa kufanya hivyo, ila jua huyu sio mtanzania, hatakiwi kutuzuia kujenga bandari zingine kwamba yeye tundio atamalaki, pia tunataka tujue ukomo, hata miaka 30 hadi 50 ingekuwa reasonable, na namna ya kuvunja mkataba iwe reasonable. icho tu ndio shida, ila mengine yote tunawahitjai hawa waarabu kwasababu pesa yakufanya wanachotaka kufanya wanayo.

pia, kwa habari ya kujenga yard au bandari kavu congo, sahau. bandari kavu ikijengwa tu congo au hapa bongo, biashara ya bandari ya kagame itakuwa imekufa, na kuna uwezekano mkubwa kagame ndio kafanya juu chini kipengele kwamba tusijenge bandari zingine ili kigali port iwe na ufanisi. kwahiyo hakuna bandari kavu itajengwa congo wala bongolala.
 
Tunasubir hizo ajira7000 za wazawa
 
Back
Top Bottom