SI KWELI DP World waomba kuvunja mkataba wake na Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Huu ni Udaku kama udaku mwingine tu.

God bless DP [emoji289]
 
Unadai vipi Hongo na unadai wapi ?!!!

Mmeshaingia King hapo watasubiri mvunje ili mpelekane kwa Pirato wavuje chao (Ni mwendo wa mtanzania kuendelea kuliwa kodi zake kwa uzembe wa wachache)
 
Unadai vipi Hongo na unadai wapi ?!!!

Mmeshaingia King hapo watasubiri mvunje ili mpelekane kwa Pirato wavuje chao (Ni mwendo wa mtanzania kuendelea kuliwa kodi zake kwa uzembe wa wachache)
 
Rushwa inakuondolea hekima kabisa. Unakua punguani hata kama ni professor.
 
Sasa wakuu wetu wa JF, mnaitaje uzushi jambo ambalo hamjalithibitisha? Mlipaswa kuthibitisha kuwa ni uzushi au kuiacha kama tetesi. It seems you have already proved kwamba huu ni uzushi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…