Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
DPP AMFUTIA KESI ALIYEJIPATIA BILIONI 5 KWA UDANGANYIFU
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amemfutia kesi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu
Ni baada ya kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Aprili 11, 2023
Mkurugenzi huyo alifikishwa Mahakamani Januari,2023 kwa kujipatia zaidi ya Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia za udanganyifu
Chanzo: Mwananchi
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amemfutia kesi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu
Ni baada ya kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Aprili 11, 2023
Mkurugenzi huyo alifikishwa Mahakamani Januari,2023 kwa kujipatia zaidi ya Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia za udanganyifu
Chanzo: Mwananchi