DPP ana ushahidi mzito tena usio na shadi ya Mbowe ๐Ÿ‘ฎโ€โ™€๏ธ

Mods rekebisha kichwa cha habari. DPP ana ushahidi mzito tena usio na shaka dhidi ya Mbowe na makomando wake.
 
Diary ndo wanaitegemea ndo imeandika kuchoma petrol station na na kukata miti ya kwenda iringa,
 
Elimu inatakiwa ikusaidie kutambua mazingira na namna ya kuishi kwenye mazingira hayo.

Elimu isipokusaidia kuya-control mazingira yako ili uishi kwa amani, upendo na furaha basi hiyo elimu yako ina mashaka sana.

Kazi iendeleeeee
 
Dalili sio nzuri kwa upande wa jamhuri.
 
Mods rekebisha kichwa cha habari. DPP ana ushahidi mzito tena usio na shaka dhidi ya Mbowe na makomando wake.
Nikujuavyo kwanza ulikuwa mwimba pambio hodari,mashuhuri na mtiifu Sana,Bila shaka hata sehemu ya timu bambikizi.Sasa tuambie huo ushahidi wako dhidi ya hasimu wako tutauaminije?Je ni kisema wewe ni mwongo nitakuwa nimekosea?
 
Diary ndo wanaitegemea ndo imeandika kuchoma petrol station na na kukata miti ya kwenda iringa,
... Konakona za Iyovi zingetandazwa magogo mabichi mwanzo mwisho kufanya nchi isitawalike na kuharibu makazi ya manyani. Ha ha ha!
 
Elimu inatakiwa ikusaidie kutambua mazingira na namna ya kuishi kwenye mazingira hayo.

Elimu isipokusaidia kuya-control mazingira yako ili uishi kwa amani, upendo na furaha basi hiyo elimu yako ina mashaka sana.

Kazi iendeleeeee
Elimu inatakiwa ikusaidie kutambua mazingira na namna ya kuishi kwenye mazingira hayo.

Elimu isipokusaidia kuya-control mazingira yako ili uishi kwa amani, upendo na furaha basi hiyo elimu yako ina mashaka sana.

Kazi iendeleeeee

Mzee Mandela aliambiwa maneno haya haya.
 
Mbowe alikua na nafasi kubwa ya kukimbia nchi,lakini yeye sio muoga kama Lema na Lissu, ndio maana CDM wanampenda sana hawataki atoke kwenye uenyekiti.
 
Mbowe alikua na nafasi kubwa ya kukimbia nchi,lakini yeye sio muoga kama Lema na Lissu, ndio maana CDM wanampenda sana hawataki atoke kwenye uenyekiti.
Hana lolote huyo. Aliposikia akaunti zake zimefunguliwa akatokezea mbio mbio toka mafichoni na jamaa wakamdaka kirahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ