DPP ana ushahidi mzito tena usio na shadi ya Mbowe ๐Ÿ‘ฎโ€โ™€๏ธ

Kutoka taifa la wapigania uhuru na wanaosaidia wengine kupata uhuru hadi taifa la waminya uhuru hata wa kuongea tu, kwakweli Tanzania tumelaaniwa sana tangu Mwl. Nyerere afe. Tunashindwa hata na Zambia wanatrend duniani huko hadi Biden anawapa big up ,sisi tumekalia ujinga tu na kusifiana sifiana kusikokua na sababu SHAME on us
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ