DPP Biswalo Mganga kutenguliwa nafasi ya ujaji kabla yakuapishwa?

DPP Biswalo Mganga kutenguliwa nafasi ya ujaji kabla yakuapishwa?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mhe. Rais SSH naomba nikupongeze kwa ujasiri wa kufanya yale waliyotuaminisha hayawezi kufanywa na viongozi wa chama Cha Mapinduzi. Nikupongeze kwa kusikia kilio Cha wengi kuhusu tuhuma zinamkabili mtumishi wa Umma mmojammoja pamoja na tuhuma za Wana CcM.

Ulimteua Biswalo Mganga kuwa Jaji kwa roho njema kabisa. Umetimiza wajibu wako wakuheshimu taaluma yake na kuona wewe Kama binadamu anafaa kuwa jaji.

Mara tu ulipomteua wananchi walionyesha kutokukubalina na wewe na wakaweka ushahidi adharani kwanini si mtu sahihi kuwa Jaji.

Kilio hiki kimedumu kwa muda mrefu si kwa sababu watu wanamchikia Biswalo kinafiki ni kwa sababu alitekeleza majukumu yake kinyume kabisa na msingi wa ofisi yake. Alijivuna na hakuwaonea huruma wananchi, alijaza mahabusu Magereza na Leo anakupa kazi yakuwatoa badala uendelee na majukumu mengine. Alifanya makusudi na hakutaka kusikiliza Waziri wala katibu wa Wizara. Uzuri waliohudumu chini yake unawafahamu. Alijimilikisha madaraka ya nchi nzima na bila kalamu yake hakuna maamuzi. Huyu mtu hafai kuwa jaji kwa sababu wale aliogombana nao na aliowanyima haki ndio wakata rufaa wa leo na majalada yatakwenda kwake. Atawatendea haki?

Naamini unamjua vizuri na unajua sababu za kwanini aliyatenda haya, ila pamoja na yote si mtu sahihi kwenye nafasi ya mfumo wa kisheria wa nchi, mpangie kazi nyingine atakayoweza kuimudu bila kukutana na wale aliowasulubisha.

Wananchi wamesema adharani, Watanzania wamepingana kwa dhati na uteuzi huu na wewe mikono yako ipo safi. Tengua uteuzi huu kwa kuwasikiliza wananchi waliomwishtaki kwako. Hata Kama unampenda na ana mazuri unayoyajua. Wape Watanzania amani mpe Jaji mkuu amani katika muhimili wake wa kutenda haki.

Naamini mtihani alionao jaji mkuu ni mkubwa sana kwenye kipengele Cha kufanya kazi na Biswalo, majaji na mahakimu wanaumia kwa sababu nao pia aliwapa maelekezo yakuzima dhamana, aliingilia mfumo wote wa haki. Mpangie kazi nyingine, mchagulie bodi moja huko akaiongoze.

Ahsante.
 
Uzuri ni kuwa Mama anasikiliza na kuyafanyia kazi
 
Mhe. Rais SSH naomba nikupongeze kwa ujasiri wa kufanya yale waliyotuaminisha hayawezi kufanywa na viongozi wa chama Cha Mapinduzi. Nikupongeze kwa kusikia kilio Cha wengi kuhusu tuhuma zinamkabili mtumishi wa Umma mmojammoja pamoja na tuhuma za Wana CcM.

Ulimteua Biswalo Mganga kuwa Jaji kwa roho njema kabisa. Umetimiza wajibu wako wakuheshimu taaluma yake na kuona wewe Kama binadamu anafaa kuwa jaji.

Mara tu ulipomteua wananchi walionyesha kutokukubalina na wewe na wakaweka ushahidi adharani kwanini si mtu sahihi kuwa Jaji.

Kilio hiki kimedumu kwa muda mrefu si kwa sababu watu wanamchikia Biswalo kinafiki ni kwa sababu alitekeleza majukumu yake kinyume kabisa na msingi wa ofisi yake. Alijivuna na hakuwaonea huruma wananchi, alijaza mahabusu Magereza na Leo anakupa kazi yakuwatoa badala uendelee na majukumu mengine. Alifanya makusudi na hakutaka kusikiliza Waziri wala katibu wa Wizara. Uzuri waliohudumu chini yake unawafahamu. Alijimilikisha madaraka ya nchi nzima na bila kalamu yake hakuna maamuzi. Huyu mtu hafai kuwa jaji kwa sababu wale aliogombana nao na aliowanyima haki ndio wakata rufaa wa leo na majalada yatakwenda kwake. Atawatendea haki?

Naamini unamjua vizuri na unajua sababu za kwanini aliyatenda haya, ila pamoja na yote si mtu sahihi kwenye nafasi ya mfumo wa kisheria wa nchi, mpangie kazi nyingine atakayoweza kuimudu bila kukutana na wale aliowasulubisha.

Wananchi wamesema adharani, Watanzania wamepingana kwa dhati na uteuzi huu na wewe mikono yako ipo safi. Tengua uteuzi huu kwa kuwasikiliza wananchi waliomwishtaki kwako. Hata Kama unampenda na ana mazuri unayoyajua. Wape Watanzania amani mpe Jaji mkuu amani katika muhimili wake wa kutenda haki.

Naamini mtihani alionao jaji mkuu ni mkubwa sana kwenye kipengele Cha kufanya kazi na Biswalo, majaji na mahakimu wanaumia kwa sababu nao pia aliwapa maelekezo yakuzima dhamana, aliingilia mfumo wote wa haki. Mpangie kazi nyingine, mchagulie bodi moja huko akaiongoze.

Ahsante.
Huyu Samia nawahakikishia atapata taabu sana iwapo atataka kugombea 2025. Hakunaga kura social media na ukweli mnaujua,huko mtaani (site) rushwa imeanza kutamalaki, huduma mbaya za kijamii hasa mahospitalini, ofisini,bei za vitu juu na ukizingatia huu ni mwezi wa pili TRA hawajatoa taarifa ya makusanyo. Ghafla SASHA na Liberata Mulamula wamegeuka ombaomba kwa nchi za Magharibi. Jiandaeni kupigiwa kura na wapinzani na wazanzibar. Watanzania sio mafala

20210514_112326.jpg


Screenshot_20210514-111343.png


Screenshot_20210513-211301.png


Screenshot_20210514-074859.png


Screenshot_20210514-091325.png
 
Mhe. Rais SSH naomba nikupongeze kwa ujasiri wa kufanya yale waliyotuaminisha hayawezi kufanywa na viongozi wa chama Cha Mapinduzi. Nikupongeze kwa kusikia kilio Cha wengi kuhusu tuhuma zinamkabili mtumishi wa Umma mmojammoja pamoja na tuhuma za Wana CcM.

Ulimteua Biswalo Mganga kuwa Jaji kwa roho njema kabisa. Umetimiza wajibu wako wakuheshimu taaluma yake na kuona wewe Kama binadamu anafaa kuwa jaji.

Mara tu ulipomteua wananchi walionyesha kutokukubalina na wewe na wakaweka ushahidi adharani kwanini si mtu sahihi kuwa Jaji.

Kilio hiki kimedumu kwa muda mrefu si kwa sababu watu wanamchikia Biswalo kinafiki ni kwa sababu alitekeleza majukumu yake kinyume kabisa na msingi wa ofisi yake. Alijivuna na hakuwaonea huruma wananchi, alijaza mahabusu Magereza na Leo anakupa kazi yakuwatoa badala uendelee na majukumu mengine. Alifanya makusudi na hakutaka kusikiliza Waziri wala katibu wa Wizara. Uzuri waliohudumu chini yake unawafahamu. Alijimilikisha madaraka ya nchi nzima na bila kalamu yake hakuna maamuzi. Huyu mtu hafai kuwa jaji kwa sababu wale aliogombana nao na aliowanyima haki ndio wakata rufaa wa leo na majalada yatakwenda kwake. Atawatendea haki?

Naamini unamjua vizuri na unajua sababu za kwanini aliyatenda haya, ila pamoja na yote si mtu sahihi kwenye nafasi ya mfumo wa kisheria wa nchi, mpangie kazi nyingine atakayoweza kuimudu bila kukutana na wale aliowasulubisha.

Wananchi wamesema adharani, Watanzania wamepingana kwa dhati na uteuzi huu na wewe mikono yako ipo safi. Tengua uteuzi huu kwa kuwasikiliza wananchi waliomwishtaki kwako. Hata Kama unampenda na ana mazuri unayoyajua. Wape Watanzania amani mpe Jaji mkuu amani katika muhimili wake wa kutenda haki.

Naamini mtihani alionao jaji mkuu ni mkubwa sana kwenye kipengele Cha kufanya kazi na Biswalo, majaji na mahakimu wanaumia kwa sababu nao pia aliwapa maelekezo yakuzima dhamana, aliingilia mfumo wote wa haki. Mpangie kazi nyingine, mchagulie bodi moja huko akaiongoze.

Ahsante.
Kwenye ule mkeka wa Gerson Msigwa, namba 6, 7 na 8 wote wametoka ofisi yake Biswalo na sasa ni majaji wateule. Natumaini ndio hawa waliokuwa chini ya Biswalo wakishiriakiana nae kazi bega kwa bega, hawawezi kukwepa chochote kinachozungumzwa kuhusu Biswalo (kikazi).
 
Abaki kuwa judge by name, ila akisha apishwa tu apangiwe kazi nyingine. Asifanye kazi ya mahakama.
Wazo zuri sana. Asiwepo katika chombo cha kutoa haki ingawa ataendelea kula kodi zetu bure kupitia mishahara na marupurupu mengine, ila itakuwa ni heri tu, si unajua bora nusu shari!! Na hii ya kumuacha bila kumfikisha mahakamani ifanywe tu kama Rais anaona noma sana kumuondoa jamaa kwa sababu azijuazo mwenyewe..vinginevyo jamaa afike mahakamani
 
Mhe. Rais SSH naomba nikupongeze kwa ujasiri wa kufanya yale waliyotuaminisha hayawezi kufanywa na viongozi wa chama Cha Mapinduzi. Nikupongeze kwa kusikia kilio Cha wengi kuhusu tuhuma zinamkabili mtumishi wa Umma mmojammoja pamoja na tuhuma za Wana CcM.

Ulimteua Biswalo Mganga kuwa Jaji kwa roho njema kabisa. Umetimiza wajibu wako wakuheshimu taaluma yake na kuona wewe Kama binadamu anafaa kuwa jaji.

Mara tu ulipomteua wananchi walionyesha kutokukubalina na wewe na wakaweka ushahidi adharani kwanini si mtu sahihi kuwa Jaji.

Kilio hiki kimedumu kwa muda mrefu si kwa sababu watu wanamchikia Biswalo kinafiki ni kwa sababu alitekeleza majukumu yake kinyume kabisa na msingi wa ofisi yake. Alijivuna na hakuwaonea huruma wananchi, alijaza mahabusu Magereza na Leo anakupa kazi yakuwatoa badala uendelee na majukumu mengine. Alifanya makusudi na hakutaka kusikiliza Waziri wala katibu wa Wizara. Uzuri waliohudumu chini yake unawafahamu. Alijimilikisha madaraka ya nchi nzima na bila kalamu yake hakuna maamuzi. Huyu mtu hafai kuwa jaji kwa sababu wale aliogombana nao na aliowanyima haki ndio wakata rufaa wa leo na majalada yatakwenda kwake. Atawatendea haki?

Naamini unamjua vizuri na unajua sababu za kwanini aliyatenda haya, ila pamoja na yote si mtu sahihi kwenye nafasi ya mfumo wa kisheria wa nchi, mpangie kazi nyingine atakayoweza kuimudu bila kukutana na wale aliowasulubisha.

Wananchi wamesema adharani, Watanzania wamepingana kwa dhati na uteuzi huu na wewe mikono yako ipo safi. Tengua uteuzi huu kwa kuwasikiliza wananchi waliomwishtaki kwako. Hata Kama unampenda na ana mazuri unayoyajua. Wape Watanzania amani mpe Jaji mkuu amani katika muhimili wake wa kutenda haki.

Naamini mtihani alionao jaji mkuu ni mkubwa sana kwenye kipengele Cha kufanya kazi na Biswalo, majaji na mahakimu wanaumia kwa sababu nao pia aliwapa maelekezo yakuzima dhamana, aliingilia mfumo wote wa haki. Mpangie kazi nyingine, mchagulie bodi moja huko akaiongoze.

Ahsante.
Beatrice Kamugisha nimekusoma sentensi kwa sentensi mpaka koma. Uwewasilisha vizuri Sana.

Kwenye mabadiliko ya Sheria ya Kinga za viongozi ya mwaka 2019 Bunge lilipitisha kinga ya kutoshtakiwa kwa AG, DPP, Spika na Naibu Spika.

Ndiyo maana unaona kule Bungeni Ndugai anasigina taratibu za Bunge kama anavyotaka.

Rais SSH amefanya kazi kubwa kwa kusikia kilio cha wengi walionyanyaswa na Biswalo Mganga mdiyo maana kamtoa kwenye ile nafasi yenye nguvu kuliko mtu yeyote katika Tanzania kwenye eneo la mashtaka.

Rais ametufungulia mwanga, ikiyobaki ni kwetu kumalizia. Tunaweza kufanya yafuatayo;

1. Kwa wananchi watakao pangiwa kesi kwake, wana haki ya kumkataa

2. Kukata rufaa kwa maamuzi ambayo hatutaridhika

3. Asasi za kiraia zifungue kesi Mahakamani baada ya kuwasiliana na watuhumiwa ambao walibambikizwa kesi na kisha kutoa fedha ambazo Biswalo alichukua binafsi
 
Mhe. Rais SSH naomba nikupongeze kwa ujasiri wa kufanya yale waliyotuaminisha hayawezi kufanywa na viongozi wa chama Cha Mapinduzi. Nikupongeze kwa kusikia kilio Cha wengi kuhusu tuhuma zinamkabili mtumishi wa Umma mmojammoja pamoja na tuhuma za Wana CcM.

Ulimteua Biswalo Mganga kuwa Jaji kwa roho njema kabisa. Umetimiza wajibu wako wakuheshimu taaluma yake na kuona wewe Kama binadamu anafaa kuwa jaji.

Mara tu ulipomteua wananchi walionyesha kutokukubalina na wewe na wakaweka ushahidi adharani kwanini si mtu sahihi kuwa Jaji.

Kilio hiki kimedumu kwa muda mrefu si kwa sababu watu wanamchikia Biswalo kinafiki ni kwa sababu alitekeleza majukumu yake kinyume kabisa na msingi wa ofisi yake. Alijivuna na hakuwaonea huruma wananchi, alijaza mahabusu Magereza na Leo anakupa kazi yakuwatoa badala uendelee na majukumu mengine. Alifanya makusudi na hakutaka kusikiliza Waziri wala katibu wa Wizara. Uzuri waliohudumu chini yake unawafahamu. Alijimilikisha madaraka ya nchi nzima na bila kalamu yake hakuna maamuzi. Huyu mtu hafai kuwa jaji kwa sababu wale aliogombana nao na aliowanyima haki ndio wakata rufaa wa leo na majalada yatakwenda kwake. Atawatendea haki?

Naamini unamjua vizuri na unajua sababu za kwanini aliyatenda haya, ila pamoja na yote si mtu sahihi kwenye nafasi ya mfumo wa kisheria wa nchi, mpangie kazi nyingine atakayoweza kuimudu bila kukutana na wale aliowasulubisha.

Wananchi wamesema adharani, Watanzania wamepingana kwa dhati na uteuzi huu na wewe mikono yako ipo safi. Tengua uteuzi huu kwa kuwasikiliza wananchi waliomwishtaki kwako. Hata Kama unampenda na ana mazuri unayoyajua. Wape Watanzania amani mpe Jaji mkuu amani katika muhimili wake wa kutenda haki.

Naamini mtihani alionao jaji mkuu ni mkubwa sana kwenye kipengele Cha kufanya kazi na Biswalo, majaji na mahakimu wanaumia kwa sababu nao pia aliwapa maelekezo yakuzima dhamana, aliingilia mfumo wote wa haki. Mpangie kazi nyingine, mchagulie bodi moja huko akaiongoze.

Ahsante.
Mama amekosea hapa!
 
Atampanga kwenye tume tume huko sio lazina akiwa jaji akatoe haki mahakamani....hata mkuu chuo mahakama lushoto au mkuu masjala makakama kuu Tanzania....nafasi zipo tu ana fix anatulia
 
Back
Top Bottom