DPP Biswalo Mganga unalazimika kuwajibika kujiuzulu baada ya kumtoa "mahabusu" Nusrat Hanje gerezani akawe ghafla Mbunge

Ivi kweli tunakubali katiba na.sheria zetu zikanyagwe na kundi la watu wachache tuliowapa dhamana ya kuilinda? Utawala wa sheria umekoma kabisa Tanzania, Viongozi wetu, oneni aibu.
 
Watanzania tunachezewa Sana,...yaaani tunapelekwa Kama gari bovu... daaah..
 
Kwani kaweka na nani pale? Naye ana maboss wake, hivyo tulia usitafute makubwa mkuu
 
Yaani huyu Jiwe anaona kama aliyetutawala ni maiti!

Hivi inawezekanaje mtu aliyefanya "blunder" ya dhahiri kama hii, aendelee kumkumbatia?

Atamfukuzaje wakati hiyo kazi amemtuma yeye mwenyewe, na anaifanya kwa ufanisi anaoutaka mwenyewe Jiwe..?
 
Wewe kichaa kwa umoja wao ni covid 19, kwa mmoja anatambulika kwa Jina lake. Kiungo gani unachotumia ?
 
Aya yako ya mwisho,unapomuomba Maghu,amfute kazi,unashangaa,madudu yote haya Yana baraka za Maghufuri,Kama Kuna mtu anaamini ujambazi wote huu unaofanyika kuanzia jeshi la polisi,mahakamani,mpaka bungeni,Maghufuri hajuhi,inabidi akapimwe akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…