Mhhhhhhhhhu!Yaani Ng'wana Ng'weshemi alikuwa dada wa chenge?siamini sema jingine
FL, naona umesahau undugu wetu sisi. Mjukuu wa mjukuu wa jirani yake babu mzaa bibi yake mama yake ambao walilishana 'yamini', ujomba hapo ni wa kufa na kuzikana.
....wewe piga porojo tu..... do you know who connected Feleshi to the DPP position?
I dont know and I dont wanna know...... ukabila, udini, undugu nk. Sijui lini hii nchi itau´zwa jumla nipewe kilicho changu niwarithishe wanangu....Connection, connection mpaka lini?It might be you for malevolences sake.
Ni kwa nini DPP Feleshi haku declare "conflict of interest" kuhusu kesi ya Fisadi Chenge?
Hivi kuna kesi inayomhusu Chenge? Ipi hiyo?
1-IPTL
2-RADAR
3-BOT TWIN TOWER
4-EPA TRANSACTION
5-UNGAUNGA BUNGENI etc