DPP: Zaidi ya watuhumiwa 300 wa Uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru

DPP: Zaidi ya watuhumiwa 300 wa Uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkurugenzi wa mashtaka mh Biswalo Mganga amesema zaidi ya watuhumiwa 300 wa makosa ya uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru.

DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote.

DPP ameyasema hayo akiwa ziarani mkoani Tabora.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Hii ni good news.
P
Ila why hata yale makosa yasiyo usika na uhujum uchumi yatupwe katika mwamvul huo??

Kuna aliyeshtakiwa kwa kosa la kumtoa binti mimba, ikaja sikika amewekwa humo, na makosa mengine mengi.

Nahisi hata vigogo wa Madawa, unaweza kuta wamecheza michezo wawekwe humo, wanunue uhuru wajekutusumbua tena

nguvu ya anonymous [emoji185]
 
Futeni MAHAKAMA sasa.

Za nini wakati kuna SHORTCUT.

Ukifanya Kosa, Toa Pesa Uwe Huru.

Meko anaabudu sana PESA.
 
Hii ni good news.
P
Good news for what purpose?

Badala kuishauri mahakama iharakishe usikilizwaji wa hizo kesi wewe unafurahia watu kuomba msamaha, tunataka kesi zipelekwe mahakamani zisikilizwe tujue mbivu na mbichi, sio mambo ya huruma ofisi ya DPP sio kanisa wala msikiti.

N.B. wale akina Shose, Sioi, na Kitila, wao wataendelea kukaa jela mpaka lini? au na wao watakaa jela mpaka waombe msamaha sio, sasa mnataka kufanya kuomba msamaha kuwe lazima kwa hao watuhumiwa!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote."

Haya ni nani kamuuliza !!?Kwani ni Uongo kuwa kwa hiyo Sheria Serikali inakusanya Mapato !?
 
  • Thanks
Reactions: prs
"DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote."

Haya ni nani kamuuliza !!?Kwani ni Uongo kuwa kwa hiyo Sheria Serikali inakusanya Mapato !?
Mapato yanakusanywa na TRA!
 
"DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote."

Haya ni nani kamuuliza !!?Kwani ni Uongo kuwa kwa hiyo Sheria Serikali inakusanya Mapato !?
Lengo la kuundwa makahama ya wahujumu uchumi na mafisadi ni Nini Kama watuhumiwa wanasamehewa wakiwa mabusu?
AWAMU HII SI RIZIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi wa mashtaka mh Biswalo Mganga amesema zaidi ya watuhumiwa 300 wa makosa ya uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru.

DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote.

DPP ameyasema hayo akiwa ziarani mkoani Tabora.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Toka lini plea bargain ikasimamiwa na DPP kwenye nchi inayofuata "Rule of Law"? Unafanyaje plea bargain kwenye maziingira ambayo upelelezi haujakamilika?

Ukweli ni kwamba plea bargain inayofanywa iko kinyume cha sheria na ni kichaka cha kujipatia fedha toka kwa waliolengwa. Ni unyang'anyi wa mchana unaofanywa purposefully na Jiwe na Biswalo Mganga.
 
Mkurugenzi wa mashtaka mh Biswalo Mganga amesema zaidi ya watuhumiwa 300 wa makosa ya uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru.

DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote.

DPP ameyasema hayo akiwa ziarani mkoani Tabora.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hiyo list yuko meko?kama hayuko ni list feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka lini plea bargain ikasimamiwa na DPP kwenye nchi inayofuata "Rule of Law"? Unafanyaje plea bargain kwenye maziingira ambayo upelelezi haujakamilika?

Ukweli ni kwamba plea bargain inayofanywa iko kinyume cha sheria na ni kichaka cha kujipatia fedha toka kwa waliolengwa. Ni unyang'anyi wa mchana unaofanywa purposefully na Jiwe na Biswalo Mganga.
Ukiona Plea Bargain ni wizi wa pesa zako, unauchuna tu kesi iendelee si utashinda?
 
Back
Top Bottom