Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Roselyne1 kwa ushauri mie nadhani ufanye mazoezi tu yanasaidia sana mpendwa hizi surgery sio nzuriningekuwa na uwezo ningefanya operesheni kupunguza tumbo,mapaja na ******...niwe na shape nzuri...
kuboost confidence hio ndio faida Kingi,ujitazamapo kwenye kioo...na kuridhika na kile unachokionabasi ndio faida yenyewe!:lie:
Mvuto ni nini??kwa ajili ya aina ya kazi walizonazo .........
kama actress au singers lazima uwe na mvuto na ndio hapo inapowabidi wakatengeneze sura na maumbo yao ili waweze kuuza films au songs zao.
note kingi: Mange Kimambi na wadau wengine wa u-turn wamefanyiwa boobs operations na facial pia.......so hata wabongo nao wanafanya tu
Tatizo la surgery mtu akishafanya moja atatamani kufanya na nyingine kwani anaona mwili wote una kasoro. Sijajua ni kwa nini wanawake hufanyia zaidi matiti
ningekuwa na uwezo ningefanya operesheni kupunguza tumbo,mapaja na ******...niwe na shape nzuri...
kuboost confidence hio ndio faida Kingi,ujitazamapo kwenye kioo...na kuridhika na kile unachokionabasi ndio faida yenyewe!:lie:
Hapa bongo nasikia kuna massage za k.u.m.a maeneo fulani ila ni gharama kweli na wanaoenda huko ni wake wa vigogo, tena bila waume zao kujua. kitu kinarudi nta kimtindo
mkuu imekuwaje? au wewe ndio 'mdogo?'Nipe uelekeo nimpeleke wa kwangu............bila kificho!:A S tongue::A S tongue::A S tongue: