Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 704
- 1,331
Sijui anaitwa msonde!? Ambaye ni naibu katibu Mkuu Tamisemi Ameelekeza kistopisha ufundishaji wanafunz wa kidato cha kwanza mwaka huu 2023 sababu kubwa ikiwa ni KKK.
Walimu Wakuu wote nchini wanatakiwa kutekeleza order ya mkubwa huyo.
Najiuliza hivi mauzauza haya yatakoma lini.
Badala ya kutetea walimu wapewe haki zao anawachimbia kaburi. Mtoto ameanza nasari, la Kwanza mpaka la Saba hajui kusoma na kuandika, je sasa anapoteza muda wa kaz gani.
SOMA HAPA.
www.jamiiforums.com
SOMA NA HAPA.
www.jamiiforums.com
Walimu Wakuu wote nchini wanatakiwa kutekeleza order ya mkubwa huyo.
Najiuliza hivi mauzauza haya yatakoma lini.
Badala ya kutetea walimu wapewe haki zao anawachimbia kaburi. Mtoto ameanza nasari, la Kwanza mpaka la Saba hajui kusoma na kuandika, je sasa anapoteza muda wa kaz gani.
SOMA HAPA.
Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu
Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu...
SOMA NA HAPA.
Viongozi wetu wa juu wa elimu wamelogwa sio bure
Niwasalimu kwa upendo wa dhati kutoka kwangu ,mm nijitambulishe ni mkuu wa shule hapa hapa Tanzania. Tarehe 16/1 waziri wa Tamisemi na Naibu katibu mkuu elimu Dr Msonde walituita wakuu wote msingi na sekondari.Lengo ni kutuelezea na kututwisha maazimio yao 21 kwa mwaka huuu kuhusiana na ufaulu...