TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Anatibu upele, harara, Surua, Kaswende Gono na muwasho kwenye ngozi.
Kaongea kwa dakika moja ila anajibiwa wiki nzima, kaongea sehemu moja anajibiwa nchi nzima.
Mpaka sasa Bashiru kajibiwa na CCM karibia nchi nzima.
Na hawajibu alichozungumza ila wanampinga mtoa hoja na inavyoonekana hoja yake haiwezi kujibiwa.