JF kwa data za chini ya kapeti, kiboko!.Heshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.
Mimi naona Ummy Mwalimu ni waziri Mkuu ajaye. Na atakuwa waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Tz.I bet Ummy mwalimu anaweza akawa Makamu mweyekiti
Mtu arekodiwe anamkashifu Rais halaf awe makamu mwenyekiti! Futa hii ndotoI bet Ummy mwalimu anaweza akawa Makamu mweyekiti
Hv unaujua uwaziri mkuu???? Au unaongea ongea tu.Mimi naona Ummy Mwalimu ni waziri Mkuu ajaye. Na atakuwa waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Tz.
Itabidi wakubali tu yaishe !!Nimemuona wa kwanza hapo tayari...
Ngoja waje akina Luca, Choice na wafananao...pengine watakuwa na neno kuhusu Sukuma gang!