Sina popote ninapomzuia yoyote kujadili chama chochote, kiwe cdm au hata chama cha walemavu. Hili ni jukwaa huru, yoyote anaweza kujadili chochote, na ukipotosha tutakuambia acha kupotosha na utapata dozi stahiki.
Kwakweli sikukuu imeenda vizuri japo ukata uko palepale. Mwaka tunaungoja huenda hali ikawa afadhali kuliko mwaka huu. Nashukuru kwa salamu ya sikukuu!
Hakika, maana yeye ni mwana CUF.
CCM bila makundi ya majungu ni sawa na mkutano wa CCM bila lori la kuchotea watuKwanini bwashee?!
Wacha Kamba mkuu wewe uwe na ukata, wacha waseme wengine maana darubini yangu imeona chupa za wine hapo kibao.
Hakwenda kwao makete?Mzee Mgaya yuko Rombo anakula sikukuu na kada Selasini!
Mzee Mgaya yuko Rombo anakula sikukuu na kada Selasini!
Nimeipenda hiyo sentensi ya mwisho.Bashiru ajifunze Siasa toka kwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete
Heka heka zote za Lowassa aliweza kwenda nazo mwanzo mwisho bila ya kufukuza wala kusimamisha Uanachama hata mmoja
Siasa za Darasani na za Field ni kama mbingu na Ardhi
Anamfanyia maombi Godbless Lema ili 2020 alitwae jimbo la Hai
Kwao ni Ujindile Njombe.....yeye siyo mkinga kama mchungaji Msigwa na Sugu!
SAWA Tu!Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Mgaya ndiye nani?Kwani mzee Mgaya ana neno gani juu ya viongozi hawa wanaotoa kauli zisizotekelezeka?
Zamani alikuwa anaongea kwa hoja na busara, sasa hivi naye anajifanya kavuta bangi moja na mwenyekiti, eti na yeye sasa hivi anaongea kwa jazba na mikwara ili aonekane anaenda na kasi ya mwenyekiti!
Hahahaaa...... Mwalimu wa akina Heche na Matiko huyo!Haka kamjamaa bwana. Kametoka jalalani juzi tu, leo kanajifanya ndio Yohana mbatizaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Arejee ziara ya akina kinana, walinyenyekea japo kinafiki, waliomba msamaha kwa watanzania kwamba wawasamehe kwa ya kijinga waliyoyafanya ili kujenga umoja na ilisaidia kiasi fulani.Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Sauti yenye mamlaka "hii ndio CCM niliyokua naiota" either you're with us or against us, mambo ya fitina fitina kujiona wewe Ni Bora kuliko wengine piga chini.Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Udikteta umehamia chamani? Mi nilidhani Katibu Dr. Slaa tu ndiye alikuwa anafukuza wasiotakiwa chamani kumbe hata Dr. Bashiru naye ni wale wale. Hawa PhD wanakuwaga na shida gani? Au fukuza fukuza ni sehemu ya thesis yao?Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Anamfanyia maombi Godbless Lema ili 2020 alitwae jimbo la Hai