Nimeipenda hiyo sentensi ya mwisho.
Ndio maana Kibajaji na Dr Msukuma wanatamba bungeni!
Ndio bwashee, wanabadilishana na Mbowe kama walivyofanya Zitto na Serukamba!
Demokrasia ndani ya chama ni pamoja na kukubaliana na maoni tofauti ya wanachama hata kama yanaonekana hayana ladha nzuri kwa viongozi wa juu wa chama. Hisia za kuonyesha kutamamani kushindanishwa ktk kugombea nafasi ya kupeperusha bendara ya Urais ndani ya chama isiwe nongwa. Wala isitumike kama fimbo ya kuwaadhibu wenye shahuku hiyo kwa kisingizio cha kutishia umoja ndani ya chama. Let the balloons freely to float on air, people will dicide which colour is preferably and attractive to them.Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Hapa PhD unajaribu kuudanganya umma juu ya kile kilicho ndani ya Chama chako.Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Ndio bwashee, wanabadilishana na Mbowe kama walivyofanya Zitto na Serukamba!
Alisema Mwanachama anayepinga au kukemea vitendo vya kuteka, kutesa, kuua, kubambika kesi siyo mwenzetu. TutamtumuaKatibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Vipi yule mchungaji ErastoMzee Mgaya yuko Rombo anakula sikukuu na kada Selasini!
Mbona hamuihusishi hiyo ccm Na umasikini wa nchi, hiyo kuyumba ndo inakuwaje,Bila CCM imara na yenye umoja nchi itayumba hivyo CCM kuwa moja maana yake ni nchi kuwa imara. Maneno ya Dkt. Bashiru yàmejaa hekima na iliyobeba matarajio makubwa kwa Tanzania