olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,572
Madaktari wawili walienda kwenye mazishi ya daktari mwenzao ambaye alikua ni Dr Bingwa wa Moyo,
kwa kutambua na kuheshimu mchango wake kwenye idara ya Moyo, Hospitali aliyokua anafanyia kazi waliamua kumtengenezea jeneza lenye umbo kama Moyo, hata kwenye kaburi lake walijenga mnara wa Moyo
Dr. Mmoja kati ya wale wawili alipoona akacheka kwa sauti ya chini chini..
Dr 2: mbona unacheka ndugu?
Dr1: nafikiria itakavyokua kwenye mazishi yangu.
D2: Kwani vipi?
D1: Mimi ni Gynocologist
(iliwahi kupostiwa huku)
kwa kutambua na kuheshimu mchango wake kwenye idara ya Moyo, Hospitali aliyokua anafanyia kazi waliamua kumtengenezea jeneza lenye umbo kama Moyo, hata kwenye kaburi lake walijenga mnara wa Moyo
Dr. Mmoja kati ya wale wawili alipoona akacheka kwa sauti ya chini chini..
Dr 2: mbona unacheka ndugu?
Dr1: nafikiria itakavyokua kwenye mazishi yangu.
D2: Kwani vipi?
D1: Mimi ni Gynocologist
(iliwahi kupostiwa huku)